Recent content by mpitanjia2005

  1. mpitanjia2005

    Kwa anayefahamu Gharama za Kutangaza Tangazo lako Redioni...

    Shukrani sana ndugu KeyserSoze KKeys
  2. mpitanjia2005

    Kwa anayefahamu Gharama za Kutangaza Tangazo lako Redioni...

    Habari wanajf Kama kuna mtu yoyote anafahamu gharama za kutangaza tangazo lako Clouds FM, Radio One, East Africa Radio, naomba anifahamishe.... Shukrani....
  3. mpitanjia2005

    Wapi wanauza mbegu za Shayiri (Barley)

    Habari wanajf... Naomba kuuliza wapi nitapata mbegu za shayiri (barley), kwa anayefahamu bei na sehemu inapopatikana naomba anifahamishe. Shukrani....
  4. mpitanjia2005

    Oil filter za Toyota Passo bei cheeee...

    Tupo Dar mkuu.... Ukihitaji unaletewa mpaka ulipo ila kwa Dar, mikoani labda utumiwe.
  5. mpitanjia2005

    Natafuta Fundi wa kubandika Wall Paper

    Aisee shukrani sana mkuu kwa ushauri wako na ntaufanyia kazi....
  6. mpitanjia2005

    Natafuta Fundi wa kubandika Wall Paper

    Wasalamu, Natafuta fundi wa kubandika Wall Paper kwenye nyumba, yoyote anayejua au anayemfahamu fundi naomba aniPM... Shukrani....
  7. mpitanjia2005

    Oil filter za Toyota Passo bei cheeee...

    Habari... Kwa wale wanaohitaji Oil filter za Toyota Passo naomba tuwasiliane: Bei 8000/= Unaletewa mpaka ulipo. Office: +255 769 341321 +255 655 341321 +255 789 341321
  8. mpitanjia2005

    Wauzaji wa printers hp photosmart

    NEXT GENERATION ENT. CO LTD WALIOPO KATI YA MTAA WA LINDI/LIVINGSTONE, DAR-ES-SALAAM, TANZANIA NI WAUZAJI WA PRINTER ZA KISASA ZAIDI AINA YA HP PHOTOSMART C6180, C7200 PRINTER HII INA UWEZO WAKUFANYA KAZI NYINGI KWA WAKATI MMOJA KAMA VILE:1. Printer 2. Fax 3. Scanner 4...
  9. mpitanjia2005

    Kuhusu hii website ya KAYMU

    Habari wanajamii, Kuna huu mtandandao wa Online shopping Tanzania | Buy & Sell online on Kaymu | #1 Marketplace nataka kununua simu, ila hawa jamaa namba zao za simu mbona ni za Nigeria??? japokuwa clouds fm wanautangaza je huu mtandao kuna mtu yoyote amenunua kitu akapata bila wasiwasi? Maana...
  10. mpitanjia2005

    Wanaohitaji Spare za VolksWagen

    Kwa wale watumiaji wa magari aina ya VOLKSWAGEN na wanahitaji spare mbali mbali za VOLKSWAGEN yoyote, walioko Dar es Salaam au hata Mikoani, tuwasiliane ili waweze kupata Spare original from Germany.... Mobile: +255 783 882 883.
  11. mpitanjia2005

    Wanaohitaji Spare za VolksWagen

    Kwa wale watumiaji wa magari aina ya VOLKSWAGEN na wanahitaji spare mbali mbali za VOLKSWAGEN yoyote, walioko Dar es Salaam au hata Mikoani, tuwasiliane ili waweze kupata Spare original from Germany.... Mobile: +255 783 882 883.
  12. mpitanjia2005

    Wanaohitaji Oil Filter za Toyota Passo

    Kwa wale wanaohitaji Oil filter za Toyota Passo zinapatikana na bei ni 15,000 Tshs. Kwa mawasiliano zaidi piga namba hii 0783 882 883 au nitumie PM.
  13. mpitanjia2005

    Wanaohitaji Oil Filter za Toyota Passo

    Kwa wale wanaohitaji Oil filter za Toyota Passo zinapatikana na bei ni 15,000 Tshs. Kwa mawasiliano zaidi piga namba hii 0783 882 883 au nitumie PM.
  14. mpitanjia2005

    Spare za VolksWagen

    Mkuu kwahiyo unahitaji control box? Nitumie namba yako ya simu in PM au tuwasiliane kwa namba hiyo...
  15. mpitanjia2005

    Spare za VolksWagen

    Kwa wale watumiaji wa magari aina ya VOLKSWAGEN na wanahitaji spare mbali mbali za VOLKSWAGEN yoyote, walioko Dar es Salaam au hata Mikoani, tuwasiliane ili waweze kupata Spare original from Germany.... Mobile: +255 783 882 883.
Back
Top Bottom