Recent content by mpitanjia01

  1. M

    DOKEZO Dar: Utata wa Barabara ya Mtaa wa Chato, Mikocheni A

    Hapa ni baada ya maji kushuka. Nimecrop hizi picha kwenye video. Embu just imagine mwanao anasoma hapo tu, pembeni ya hilo shimo. Sio sawa
  2. M

    DOKEZO Dar: Utata wa Barabara ya Mtaa wa Chato, Mikocheni A

    Ni mwaka mmoja umepita hivi sasa, lakini hali ya barabara ya mtaa wa Chato inaleta utata kati ya wananchi na wakandarasi. Urefu wa barabara hii ni mita 600. Imekuwaje mpaka leo hii barabara haijakamilika? Ujenzi wa barabara hii ulianzishwa kwa nia ya kuweka bomba kuu la maji machafu chini...
Back
Top Bottom