Recent content by MPINGA UKAWA

  1. MPINGA UKAWA

    Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

    Duuuuu viwanda wanyonyaji wakati wao wanatuuzia kapakti kadogo kwa mfano tanga fresh ule mtindi 500g ni sh 1500 na hiyo ni nusu lita tu
  2. MPINGA UKAWA

    Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

    Shukrani mkuu kwa ushauri wako hao ngombe 50 nilitaka kununua Kama ndama niwakukuze Mimi Pia kuhusu sehemu ya kununua nilitaka kununua kwenye vyuo vya kilimo na ufugaji Kama sua na vinginevyo au kwenye lunch za serikali maana watu binafsi sio waaminifu Swala la eneo hizo ekari tano Ni ujenzi...
  3. MPINGA UKAWA

    Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

    Sikupingi mkuu Ila kwa shule na huo mtaji mbn ni mdogo alafu pia nimechaguo huo mradi kutokana na interest zangu nitamudu Lakini pia hata kimapato naona Kama maziwa italipa zaidi Lita 1500 kwa siku na lita moja wastani niuze sh 1000 mara lita 1500 naona italipa zaidi japo bado sijajua...
  4. MPINGA UKAWA

    Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

    Kwa Sasa nakusanya kwanza taharifa muhimu zitakazo niongoza ndomana nikaja humu najua Kuna wabobezi humu
  5. MPINGA UKAWA

    Nafikiria kuanzisha biashara ya kuwauzia maziwa viwanda vinasindika maziwa kama vile Tanga fresh na vinginevyo

    Wakuu nawasalimu Wakuu nimeona fursa katika biashara ya maziwa natamani sana kufanya biashara hii Biashara hii haswa natamani kuwauzia viwanda vinavyo sindika bidhaa hii Kama vile Asas , tanga fresh ,shambani milk na vinginevyo hata vidogodogo vyenye uwezo wa kuchukua kuanzia lita 50 Hadi 100...
Back
Top Bottom