Hello, naanza na salamu naitwa Dax ni kijana nilie maliza form4 mwaka huu na kushindwa kufaulu. Nimepewa mtaji wa biashara milion moja naitaji kufungua kibanda cha kuchezesha game.
Naombeni wadau tupeane elimu kuhusu biashara hii changamoto zake na faida zake pia je biashara hii je nikiwekeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.