Recent content by Mozya King

  1. Mozya King

    TCU raundi ya 5

    Mhh....!!! mbona ni hatare kwenye baadhi ya profile
  2. Mozya King

    5th round tcu

    According to jana nilivyoongea nao walisema watatoa/kufungua website yao jana jioni au leo,
  3. Mozya King

    HESLB wameanza kupokea appeals

    Jaribu kuwazingua voda, ongea na mwakilishi wao direct umuulize ni vipi mbona transaction waliyokupa unaambiwa doesn't exist, kwanzia hapo utaanza kujua chakufanya kwasababu ni ngumu kupata maelezo kutoka heslb
  4. Mozya King

    HESLB wameanza kupokea appeals

    Hv haijawahi tokea m2 kapata 90% alafu baada ya kuappeal wakamfanyia uhuni ikapunguzwa?
  5. Mozya King

    HESLB wameanza kupokea appeals

    Yah..! Swali zur ngoja tusubir jibu kama ni waliokosa kabsa au hata wa 0% nao wajitupie
  6. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Kwahyo wadau wategemee mikopo yao kubadilishwa si ndivyo..? Au?
  7. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Vp wakuu kimeeleweka..??
  8. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Vipi wakuu kimeeleweka??
  9. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Aaahh...! Amani kwa wote na pa1 sana
  10. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Hamna kukimbiana..! Tutaftane mkuu na taarifa tupeane kiroho safi kabisaa
  11. Mozya King

    Wenye experience na transfer

    Hv hyo mwaka ndo maximum time au hata miaka miwili inawezekana? Na vipi mfano mtu alitransfer kutoka facult ya kawaida yenye 0% akaenda engineering inakuwaje kuhusu asilimia zake? Zitaongezwa au kama kawaida atakomaa na 0% yake??
  12. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Hv mkuu unafikiri ofisi za tcu zipo kila mkoa? No way out lazima watu waulize hapa so hata ww unahusika katika msaada wako..!! Fanya kitu mkuu
  13. Mozya King

    Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

    Mkuu naona itakuwa umechanganya madawa ebu irudie tcu transfer vzur utaona, cheki 2(iv) alafu uangalie na tena 4, ungeelewa kuwa haikuwa na umuhimu wa kuweka namba 4 kama ingekuwa inamaana ya maelezo uliyoyatoa Tanzania Commission for Universities Transfer Procedures 1. Introduction TCU had...
  14. Mozya King

    Wenye experience na transfer

    Kwa taarifa za wadau waliotoka bodi ya mikopo wanasema majina yanatoka alhamic ndo jibu walilopewa hilo
Back
Top Bottom