Recent content by mozeh wayne

  1. mozeh wayne

    Endapo Rais Magufuli atashinda Urais na kuendelea na mtindo wake wa uongozi, 2025 CCM itapigwa saa 4 asubuhi

    Pia kwa upande wa ajira imekuwa ni chachu kubwa ya Vijana wengi kuwa na matendo maovu mtaani. Hali ya kuwa tunaamini kwamba chanzo moja wapo Cha maendeleo ya nchi yeyote ile ni ajira kwa watu hivyo Tanzania ingejidhatiti kutoa ajira kwa uyakinifu pengine nchi hii ingepiga hatua ya kimandeleo...
  2. mozeh wayne

    Ficha mambo haya, kisha njoo unishukuru

    Asante kwa ushauri mzuri
Back
Top Bottom