Ni kweli lakini hyo changamoto haijaanza tu kwenye round ya 3 bali toka system yao ilipoanza kusumbua kwenye round ya pili na kutoa maelekezo ya kuwa machine yao inasuasua kwenye kutoa control# kwa wakati ndipo ikatokea hyo system mpya ya kupita tu bila kulipia. Najua unahofu ya kwamba "kama...
Iko hivo,na kwa kulithibitisha hilo walitoa taarifa kwa wale waliochaguliwa awamu ya kwanza, siku ya tareh30.08 waende kwenye INTERVIEW na walienda......Hii iinaonyesha kabisa kuna suala la mchujo unapita licha ya kuwa admitted.
Kama ameomba second round basically majibu hayajatoka mpaka tar07 sept....... na kama amekuta ivo kwenye dashboard yake basi itakuwa hakuchaguliwa kwa round ya 1,hivyo baada ya kufungwa kwa round ya kwanza huwa wanakariibisha re-application for the 2nd round. Hapo muulize vizuri kama alire-apply...
Samahani wakuu naomba msaada kwa yeyote anayeielewa course ya Bachelor of arts in anthropology,misingi yake na hatima yake baada ya kuisoma unaweza kuja kuwa nani?
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.