Recent content by Moto wa volcano

  1. Moto wa volcano

    Nafasi kubwa za uongozi wa nchi haifai kuwapa vijana wa miaka 30 mpk 45

    Huyo m7 unayemzungumzia alipata uongozi akiwa bado ni kijana mdogo wa miaka 38 , ndio kwenye hoja yangu wasipewe uongozi wakiwa vijana sana
  2. Moto wa volcano

    Nafasi kubwa za uongozi wa nchi haifai kuwapa vijana wa miaka 30 mpk 45

    Ni kweli usemalo sipingani na wewe na sina maana ya kwamba vijana wote wakipata uongozi ktk umri mdogo wataleta shida hapana wapo ambao ni waadilifu mfano ni aliyekuwa Rais wa kwanza hapa kwetu TZ , lakini kwa jicho lengine la umakini utagundua viongozi wengi wanao sumbua kuachia nafasi za...
  3. Moto wa volcano

    Nafasi kubwa za uongozi wa nchi haifai kuwapa vijana wa miaka 30 mpk 45

    Kuna shida kwa vijana kupata dhamana ya uongozi wa ngazi za juu kama u urais wakiwa na umri mdogo . Naona Joseph Kabila baada ya kustaafu ni kama anaona hajamaliza kwenye uongozi anamchezea rafu sana Tshisekedi ikumbukwe kabila alipata u Rais wa kongo akiwa na miaka 28 tu kastafu bado ana nguvu...
  4. Moto wa volcano

    Unapopanga Jambo lako la sherehe punguza matarajio

    Unapopanga jambo lako mfano haruc , birthday au sherehe yeyote ile tambua ya kwamba ratiba yako wewe sio sawa na ya mtu mwengine . Usichukie mtu kwasababu hajatokea kwenye jambo lako hauwezi jua ratiba yake / hali yake ikoje , punguza matarajio ya kwamba fulani atakuwepo
  5. Moto wa volcano

    Wachina wakikutana nchi za kigeni hawapendani

    Sijajua ni kwanini wa China wakikutana nchi za nje haswa kikazi hawapendani na hawana ukaribu tofauti sana na watu wa jamii zengine kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba hawataki kuwa karibu sababu wanaogopa kuigana biashara / mbinu za kutengeneza pesa
  6. Moto wa volcano

    Wa Tanzania hatumtendei haki Oscar kambona

    Inasikitisha kuona watu wazalendo aina ya oscar namna historia zao zinavyofunikwa ktk taifa letu wakati wanamchango mkubwa
  7. Moto wa volcano

    Wa Tanzania hatumtendei haki Oscar kambona

    Mchachango wa Oscar kambona ktk Taifa letu ni mkubwa sana lakini inastajabisha kuona mtu huyu hakumbukwi kwa lolote lile hakuna hata mradi uliopewa jina lake !? , kwakweli Jasho la huyu mtu kulipigania Taifa hili limedhulumiwa anamchango mkubwa wa kupigania mfumo wa vyama vingi katika nchi hii...
  8. Moto wa volcano

    Kwanini Wazazi wakiachana Sheria zinampendelea mwanamke katika malezi ya watoto?

    Tumefika in a point of no return. Mambo yameshaharibika
Back
Top Bottom