Recent content by Moto wa volcano

  1. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Hayo ni matatizo binafsi kama mtu jiji limemshinda arudi mikoani hatuwezi tukapindisha utaratibu wa nchi kwa kuwaonea huruma watu wachache
  2. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Ninapingana na mtazamo wako , kuna mambo hayahitaji kuangalia maslahi ya mtu mmoja mmoja tunaangalia maslahi ya Taifa zima na serikali , ndioomana mkuu wa mkoa amesema kwamba abiria wanaposhushwa mbezi inasaidia kuzalisha ajira kwa wengine , suala la gharama za usafiri hilo halina maana safari...
  3. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Mkuu wa mkoa Albert Chalamila salute sana
  4. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    https://www.instagram.com/reel/Db5CEV3CGhk/?igsh=MW51MjJ1eGFkNmJ0ag==
  5. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mzazi usichome pesa kumpeleka mtoto shule ya gharama sana

    Wewe ni kinyesi haufai kabisa
  6. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Yes mid of the week nakuwa busy na kz ila kwa ww jobless anyday is good for u
  7. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Hapo inatakiwa ujikite kwenye mission ya kusaka jiko
  8. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Kabisa Familia yako unatakiwa uipe kipaumbele
  9. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Kwa nyie hamtakiwi kuishi maisha ya kifungo mpo huru muda wote ku hang out .
  10. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Mwanaume sio kila weekend Mitoko na masela/ washkaji, muda mwingine tulia na mkeo

    Man to Man , sio kila wknd lazma utoke na Masela sometimes tuliza mbupu kwa mke wako mpange mipango ya maisha na ku have fun kuna watu hawana muda kabisa na familia zao au hata kukaa na watoto
  11. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Nazungumzia title sio comment section
  12. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Saddam Hussein alikuwa ni Dikteta mwenye faida kwa nchi yake

    Comment zako huwa zinanifurahisha hazina mambo mengi
  13. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Unamaanisha hakuna wasomi humu au inawezekana kurekebisha unapokosea ?
Back
Top Bottom