Hhh hpn sio kuhusu kumdekeza , mtoto wa miaka 3 / 4 ambaye hajawahi kujichanganya na watu wengine huwa day one lazma impe tabu , mi mwenyewe nakumbuka kipindi hicho naanza shule ilikuwa ngumu sana maana nilizoea kukaa hone kucheki movies tena siku ambayo naanza shule picha la terminator ndo...
Huwa ni siku ngumu sana kwa mzazi kumpeleka mtoto shule kwa mara ya kwanza , umeshakaa na mtoto miaka 3 / 4 hajazoea na haujazoea mtoto kukaa na watu baki , yeye amezoea kukaa mazingira ya nyumbani na wewe umezoea kumuona akiwa home muda wote . So day one inakuwa ngumu sana watoto wengi wanakuwa...
Kabisa kuna askari hawana busara imewahi kunitokea askari wa barabarani alichomoa ufunguo wa gari langu halafu nikamfwata kumsemesha akawa hanijibu akanikalisha masaa ikabidi nijiongeze ndo nikachomoka pale . Usipoweza kujizuia hasira ndio yanatokea kama hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.