Ninapingana na mtazamo wako , kuna mambo hayahitaji kuangalia maslahi ya mtu mmoja mmoja tunaangalia maslahi ya Taifa zima na serikali , ndioomana mkuu wa mkoa amesema kwamba abiria wanaposhushwa mbezi inasaidia kuzalisha ajira kwa wengine , suala la gharama za usafiri hilo halina maana safari...
Man to Man , sio kila wknd lazma utoke na Masela sometimes tuliza mbupu kwa mke wako mpange mipango ya maisha na ku have fun kuna watu hawana muda kabisa na familia zao au hata kukaa na watoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.