Ni kweli usemalo sipingani na wewe na sina maana ya kwamba vijana wote wakipata uongozi ktk umri mdogo wataleta shida hapana wapo ambao ni waadilifu mfano ni aliyekuwa Rais wa kwanza hapa kwetu TZ , lakini kwa jicho lengine la umakini utagundua viongozi wengi wanao sumbua kuachia nafasi za...
Kuna shida kwa vijana kupata dhamana ya uongozi wa ngazi za juu kama u urais wakiwa na umri mdogo . Naona Joseph Kabila baada ya kustaafu ni kama anaona hajamaliza kwenye uongozi anamchezea rafu sana Tshisekedi ikumbukwe kabila alipata u Rais wa kongo akiwa na miaka 28 tu kastafu bado ana nguvu...
Unapopanga jambo lako mfano haruc , birthday au sherehe yeyote ile tambua ya kwamba ratiba yako wewe sio sawa na ya mtu mwengine . Usichukie mtu kwasababu hajatokea kwenye jambo lako hauwezi jua ratiba yake / hali yake ikoje , punguza matarajio ya kwamba fulani atakuwepo
Sijajua ni kwanini wa China wakikutana nchi za nje haswa kikazi hawapendani na hawana ukaribu tofauti sana na watu wa jamii zengine kuna mtu aliwahi kuniambia kwamba hawataki kuwa karibu sababu wanaogopa kuigana biashara / mbinu za kutengeneza pesa
Mchachango wa Oscar kambona ktk Taifa letu ni mkubwa sana lakini inastajabisha kuona mtu huyu hakumbukwi kwa lolote lile hakuna hata mradi uliopewa jina lake !? , kwakweli Jasho la huyu mtu kulipigania Taifa hili limedhulumiwa
anamchango mkubwa wa kupigania mfumo wa vyama vingi katika nchi hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.