Recent content by Moshi town

  1. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Mkuu wa Idara ya PMU Kondela anastaafu mwezi wa Saba 2023 ,ili kuendeleza Ufisadi anayechukua nafasi yake anatoka Mamlaka ya Majisafi Morogoro ( Moruwasa) wakati AUWSA kuna Vijana wenye Sifa za Kuwa HMPU Huu ni uthibitisho tosha mtandao wa Ufisadi Uliopo AUWSA ni wa Waziri Aweso ,Katibu Mkuu...
  2. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    AUWSA inatumia Pesa nyingi sana Kuzima hii Kashfa Wametumia Tzs 98 Milion kumpeleka Arusha Mkurugenzi wa Habari maelezo Ndg Greyson Msigwa Arusha ili atulie Wametumia tzs 67 Milion kumpeleka Arusha Balozi hewa wa Maji Msanii Mpoki Waziri Aweso aliitisha kikao cha wafanyakazi wa AUWSA na...
  3. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Mradi wa Water Blending System Umesima, Kwa sasa wakazi wa Arusha wanakunywa Maji yenye Fluoride nyingi na Chumvi nyingi ambayo ni hatari kwa Afya ya Binadamu
  4. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    CAG futa kampuni ya Reliable Consultant katika orodha ya wakaguzi ,hakuna wanachofanya AUWSA wanakula Rushwa tuu.
  5. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    OCD Arusha hacha Kunyanyasa Raia ,Rudisha simu ya Eng Tarimo…Mmemweka Ndani ( Selo) amelala Siku tatu kwa maelekezo ya Rujomba kuwa yeye Ndiyo Moshi Town anatoa taarifa za Ufisadi Jamii Forums ,Mmemnyanganya simu yake.. Mmemweka Lock Up ( Selo) Siku tatu Nasema kwa Sauti kubwa mrudishieni Eng...
  6. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    AUWSA imegeuzwa Shamba la Bibi kuna wakaguzi wapo wanaitwa Reliable Consultant ni mafisafi wapo AUWSA toka 2018 hakuna ukaguzi wanaofanya wa Maana wanashinda Bar ya Ken Garden muda wao wa kukaa Arusha ukiisha wanatishia kuwa wana hoja wanavuta mpunga ( Rushwa) wanasepa, Ni nani ataiokoa AUWSA...
  7. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Wakazi wa Mkoa wa Arusha wanakunywa Maji yenye Chumvi na Fluoride Nyingi kutokana na Ufisadi wa Eng Rujomba. Mradi wa Water Blending System for Fluoride Wenye Thaman ya Tzs 36 bilion Umesimama kutokana na Mfadhili AFDB kugoma kutoa Barua ya No Objection ( Kuruhusu Mradi uendelee) Baada ya...
  8. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Tuliamua kukaa kimya ili kutoa Fursa kwa vyombo vya Dola kufanya uchunguzi ,inasikitisha sana PCCB Arusha wameshindwa kukamata Mafisadi walioaaini huu Mkataba wa Bilion 36
  9. M

    Waziri Aweso akemea matumizi mabaya ya fedha miradi ya maji. Amuondoa Mhandisi wa maji kondoa

    Mheshimiwa Waziri Wa Maji Juma Aweso tuna taarifa Kesho utaongea na Watumishi wa Mamlaka ya Maji AUWSA Watanzania watapenda kujua Umechukua hatua gani dhidi ya waliofanya Ufisadi AUWSA. Mkataba Kati ya na AUWSA ulisainiwa tarehe 9 Oktoba,2018 na alianza Ujenzi rasmi tarehe 09 Disemba, 2018...
  10. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Vyombo vya Dola penyezeni Vijana wa kazi Kesho kikao cha AWeso na Watumishi wa AUWSA kitafanyika Jengo Jipya la AUWSA Kisongo Kesho waziri Aweso atakuwa Arusha kukemea watumishi wa AUWSA kwanini wanatoa taarifa za Ufisadi, Mheshimiwa Waziri hawataki watumishi wanaopambana na ufisadi...
  11. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Waziri Aweso uwa unajifanya mtetezi wa Wanyonge kwanini huu Ufisadi wa AUWSA unashindwa kuchukua hatua ? Au na wewe ni msharika wa huu Ufisadi? Ulimsimamisha Manager wa RUWASA Mkoa wa Tanga kwa tuhuma za Tzs 12 Milion unashindwa nini kuchukua hatua Ufisadi wa Tzs 36 Bilion AUWSA?
  12. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Mheshimiwa Waziri Wa Maji Juma Aweso tuna taarifa Kesho utaongea na Watumishi wa Mamlaka ya Maji AUWSA Watanzania watapenda kujua Umechukua hatua gani dhidi ya waliofanya Ufisadi AUWSA. Mkataba Kati ya na AUWSA ulisainiwa tarehe 9 Oktoba,2018 na alianza Ujenzi rasmi tarehe 09 Disemba, 2018...
  13. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Uchunguzi umulike kamati ya Uchunguzi iliyoundwa na waziri wa Maji ikiongozwa na Dr. Nditi wamelipwa Posho mara mbili , Wamelipwa Posho na Wizara ya Maji na AUWSA pia imewalipa, Waraka wa Serikali wa 2016 unataka Malipo yote yanayofanywa na Taasisi za Serikali zipitie Bank.. Dr. Nditi na team...
  14. M

    DOKEZO Mkurugenzi wa AUWSA asaini Mkataba wa kifisadi wa TZS 36.3 Bilion na Mchina bila Ridhaa ya Bodi ya Ununuzi ya AUWSA na wafadhili AfDB

    Tunapongeza Vyombo vya Dola kwa kuanza kufanya uchunguzi.. Pongezi Zetu za dhati ziwafikie Admnin wa JF , Member wote wa JF , Kamanda wa PCCB Arusha ,Ofisi ya Mkurugenzi wa PPRA,na Vyombo vyote vya Dola ambavyo kwa namna Moja ama Nyingine wameshiriki kuchunguza Upotevu wa zaidi ya TZs 36 bilion...
Back
Top Bottom