1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.
2.ndio maji yamatuama
3.amna chanzo cha maji
4.ndio nyumba zipo zilizo titia
5.ndio ni njia ya maji ya mvua
6.yani ikinyesha mvua kubwa alafu ikakata . Na jua likawaka kali inachukua siku nne hadi tano kukauka kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.