Ni kweli kabisa, Fedheha ambayo Mo kampa CHAMA, bora ajiondokee tu. Huwezi kumuaibisha vile mtu hadharani. Pia sjawahi kuona Boss wa timu anafatilia wachezaji wake kwa kiasi cha kuwaaibisha hivyo. Hata kama deal la CHama lilikuepo tangia awali, Lakini kitendo cha MO ndio kimeleta chachu ya Chama...
Mimi nadhani C.C Chama kuondoka Simba kafanya kwa sababu ya matendo ya Boss wetu ambayo hayana Busara ndani yake. Kwa mtu anae fatilia page ya Chama Instagram, Chama aliahidi ana deni Simba. Nalo ni Champions League. Ndoto hii imekatishwa na majibu ya Boss wetu alivo attack LIVE conference ya
Chama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.