Recent content by Moses Lemery

  1. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    Kwahiyo kuna watu wa kuandikiwa ishu kama hizo na wasio stahili??
  2. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    If this is all u can say as thred of the year, am scared on u now.. u a among of laggads
  3. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    Kwani babu seya alimlawiti Vicky??? Inahusiana vipi na hoja ya Pasco???
  4. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    Hoja ya pasco mmeikimbia ishu ya cheni na ndoa sijaviona kwenye topic ya pasco
  5. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    Sasa sijajua kama alitaka kuchangia ndoa yake pale msiache point mkaingiza viTu visivyohusu huku ni kukosa hoja. Rejea topic ya pasco
  6. M

    Vicky Kamata Anastahili Pongezi! Asimama Kidete Kupinga Uonevu, Ubabe na Double Standards za Zungu!

    Naona wengi mnajadili image ya Vicky kamata na mambo ya uzuri na nje ya hoja..
  7. M

    Mbowe sasa yuko tayari na ameiva kwa kazi ya Urais

    Kweli kabisa anafaa sana kuwa rais wa wachaga. Ni kipindi kirefu sijawai kusikia rais wa wachaga.. maana wapo marais kibao kama rais wa manzese, rais wa masharobaro, rais wa wasafi nk. Keep it up Baba freelady. Plz we need Freeboy.
  8. M

    Pinda ni kiongozi dhaifu maradufu

    Muweke baba yako awe waziri mkuu basi pengine ni super.. na kama ni super siju kwanini analima nyanya huko aliko.. Ni fikra fupi kama nyusi kwakua pamoja na mabaya yake uliyosema yapo mazuri mengi mengi sana kafanya kwenye nchi hii bahati mbaya wewe hujayaona.. tumezoea wendawazimu wanahukumua...
  9. M

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Kuna watu wanaongea Pumba sana humu halafu wanahiona wako very inteligent.. fikra za urais 2015 ndio zipo vichwani mwa wengi. Pinda kinamponza kuta gaza nia.. kama ipo ipo tu viva Pinda.
  10. M

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Namm nakujibu kwa swali angezuiaje??? Kwakua mwizi akiamua kuiba anaweza iba wakati wowote je wewe unapoibiwa hua unajihukumu mwenyewe kwa uzembe wako wa kuibiwa.?????
  11. M

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Nadhani pia unamaanisha Pinda hayumo kwenye wala pesa. Je unadhani kujiuzuru kwake pesa itaridi?? Je akina chenge na wenzake wanawajibikaje wakati ndio waliokula pesa? Bado nafikiri tena hili umecomment kwa jicho la 2015. Ishu tunataka hela zirudi sio mambo ya kushindwa kusimamia angewezaje...
  12. M

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Ishu tunataka pesa sio kujizulu haisaidii sana, kupata pesa walizokula watajwa ndo la msingi.. huko kujiuzulu kunaletwa na wale wenye macho ya 2015, na si maslahi ya wananchi.. Pinda hana tuhum ya kula hela kosa lake nini iwapo mwanasheria mkuu ndio alikua na ushauri kama mwakilishi wa serikali...
  13. M

    PAC: Maoni, Maswali, Mapendekezo na Ushauri wa yatokanayo na report ya PAC

    Ishu tunataka pesa sio kujizulu haisaidii sana, kupata pesa walizokula watajwa ndo la msingi.. huko kujiuzulu kunaletwa na wale wenye macho ya 2015, na si maslahi ya waNanchi
  14. M

    ESCROW ACCOUNT ilifunguliwa mwaka 2006 Edward Lowassa akiwa PM, Karamagi waziri wa nishati

    Hili duala la escrow watu wengi wanakurupuka kushutumu kila tu yaani mtu akijiskia kushutumu yeyote anashutumu tu sasa nini nasema Hata baba yangu mzazi kaingiziwa dola milioni kumi anayebisha namtumia ushahidi. Siasa za chuki zimetumika sana juu ya hili. Mimi nasema kabisa hizi ni vita za urais...
  15. M

    ESCROW ACCOUNT ilifunguliwa mwaka 2006 Edward Lowassa akiwa PM, Karamagi waziri wa nishati

    Halafu mimi najiuliza hili swali Kafulila anadai bunge ni chombo cha mwisho cha maamuzi anasahau yeye na Zito kabwe wanapumua bungeni kwa nguvu za Mahakama? Pinda akisema uhuru wa mihimili wanaguna. Hawa wanaoguna wanatumia nini kufiri? Wasome ibara ya 107A ya katiba wajue nguvu ya mahakama...
Back
Top Bottom