Recent content by Moperoo

  1. M

    nimepata kazi mkoani ...najishauri!!

    Mkuu nenda tu Meatu nimeshafika huko.Ila ni pazuri sana kama una interest ya kufanya biashara hasa ya ng,ombe na kilimo. Usiogope ukienda huko unaweza kugoma kabisa kurudi Dar coz gharama za maisha nazo ni rahisi. Ila iwe Mwanihuzi isiwe vijijini mkuu.
Back
Top Bottom