Recent content by montecarlo

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Heri ungesema tuwe makini na FC BASEL, maana cku hz wamekua rojorojo kweli
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Game ya Arsenal na Westham tuwe nayo makini! Moyes anapenda kukamia tim kubwa... Ingawa sijui kama arsenal tunaichukulia kama tim kubwa siku hizi
  3. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila tim za belgium ni kichomi, unajikuta unalazimika ku cashout, goli linaenda kupigwa dk ya 97
  4. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Uki share au usipo share kipigo kipo pale pale... Tena bora ushare humu, unaweza kupata ushauri...
  5. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Angalia H2H ya napoli na hao empoli, yaani usipoweka over 1.5 utakua mwehu! Basi tu wameamua leo iwe hivo...
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tim zingine ni kama zimelogwa, kabaki yy tu
  7. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Napoli akishindwa kupata goli, anakaa kwenye blacklist
  8. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Muwekee, Simba hana mpira wa kumfunga yanga kwa sasa
  9. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Strategy ipi tena? Tulishaelekezwa tuwe tunatafuta odds 1.2 hadi 1.4 unaweka hela kila siku ile ulioshinda, kwa siku 30 ukienda hivo utakua na 6mil... Nilifika 245,000, nikazitoa, naanza upya... Maana inahitaji uvumilivu wa hali ya juu, vishawishi ni vingi
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Asee, napoli na leceister watauana huko... Game za leceister unaweza shawishika uweke milioni game itoe over 1.5... Maana kufunga wanajua, kuzuia hawajui
  11. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    C ulisema ww ni mchambuzi mzuri, cc wengine hatujui kubet? Vp hali inasemaje huko! Inanyesha au bado jua ni kali?
  12. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kanji nadhani huwa anapiga cm, unaweza kuta imebaki tim moja tu, wote tushinde, unashangaa mauzauza
  13. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Au Sancho asianze kabisa... Huu utabiri wa mchezaji mmoja mmoja ni hatari sana
Back
Top Bottom