Strategy ipi tena? Tulishaelekezwa tuwe tunatafuta odds 1.2 hadi 1.4 unaweka hela kila siku ile ulioshinda, kwa siku 30 ukienda hivo utakua na 6mil... Nilifika 245,000, nikazitoa, naanza upya... Maana inahitaji uvumilivu wa hali ya juu, vishawishi ni vingi
Asee, napoli na leceister watauana huko... Game za leceister unaweza shawishika uweke milioni game itoe over 1.5... Maana kufunga wanajua, kuzuia hawajui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.