Mwenye ulewa na hii taasisi ya TAWA(Tanzania Wildlife Management Authority))wanavyolipa, na posho zake zilivyo katika ngazi tofauti tofauti naomba atujuze.
Natanguliza shukran.
Habari za wakati Huu,
Naomba kwa mtu aliyewahi kupona tatizo la kutembelewa na vitu mwilin kama vile mkononi, mgongoni atusaidie dawa yake ni nini? Au kama kuna mtaalamu (Daktari) anayejua matibabu ya hii hali anisaidie sababu ni hali inayokera na inatokea mda wowote.
Natanguliza shukrani.
Kama wewe ni Mkristo mkatoliki ni sala, Novena, Rozali au uliwahi funga kuombea kitu na kikafanikiwa?
Mfano kwenye kuomba kazi, mke au mume au masomo n.k tushirikishe
Pia madhehebu mengine karibuni kushuhudia kulingana na MUNGU alivyokutendea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.