Mbona huku kuna mwalimu tena wa shule ya msingi na hana kazi nyingine lakini amejipanga vizuri kimaisha yeye na mke wake wote ni walimu tena wa shule ya msingi..unatakiwa ujue namna gan utafanikiwa kimaisha sio kuanza kuponda kazi ya ualimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.