Recent content by monjustboy

  1. M

    Kwa wale mnao enda kusomea UALIMU,someni hapa.

    Mbona huku kuna mwalimu tena wa shule ya msingi na hana kazi nyingine lakini amejipanga vizuri kimaisha yeye na mke wake wote ni walimu tena wa shule ya msingi..unatakiwa ujue namna gan utafanikiwa kimaisha sio kuanza kuponda kazi ya ualimu
  2. M

    Je umechaguliwa course ya ndoto yako?

    nitakapomaliza education ya informatics and mathematics nakujiunga na jeshi basi ndoto itakamilika
  3. M

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    Thanx mtoto wa kunyumbu
  4. M

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    Thanx brother Jimmy
  5. M

    Wale wa Sua tufahamiane humu

    Mimi nipo education (informatics&mathematics ) je ntaenda main campus or mazimbu
  6. M

    Ni kweli au watu wanazusha!

    unajua kila ki2 ni kigumu kama huna malengo nacho na hujakipenda basi utateseka...
  7. M

    Bwana HESLB anakuja.!

    Wewe huijui bodi ukipata mkopo mshukuru haijalish Priority. Mm mwenyewe nilikuwa Nimechaguliwa Mathematics na wameninyima
Back
Top Bottom