Recent content by Monicca

  1. M

    Kwanini CCM ina mkakati wa kujenga uchumi wa viwanda 2015-2020

    bado hujaona walichofanya elimu pia bado hujaona walichofanya serikali ya ccm kuhusu maji pia wameweza bado unalalamika nini,ulitaka serikari wakupe mke na nyumba ndio ujue wameweza? #hapakazitu
  2. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    naipenda ccm nampenda mgombea tiketi ya urais kupitia ccm DR JOHN POMBE MAGUFULI
  3. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    lazima wanyooke mwaka huu hatutaki mbwembwe za sungura kama mafanikio tunayo na ushahidi tunao
  4. M

    Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Lawrence Masha akamatwa na Polisi

    Acha kupotosha umma wewe huyo masha alifika hapo kituoni usiku na akapewa taarifa kwamba kwa mda huu huruhusiwi kisheria kumtoa mtu mahabusu yeye akaanza kutoa maneno ya ajabu na kuongea kejeli ndipo police wakaamua kumuweka ndani kwa kulidharau jeshi la police na kufanya fujo
  5. M

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Na wahame tu maana dawa yao iko jikoni ngoja Dr magufuli aingie madarakani lazima waeleze hizo pesa wamepata wapi na wasipotoa maelezo ya kutosha vizuri watarudisha na kufungwa juu. CCM ndio hiyoo kwenye ubora wake #hapakazitu #huyundiokurayangu #mwanamkeshujaa ndio habari ya uchaguzi
  6. M

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    CCM daima kitadumu hao wanaotoka ni makapi ambayo yalikifanya chama kionekane kibaya.Sasa wameona jembe magufuli ameingia madarakani wanaanza kukimbia wanaona moto unakuja sasa wanatafuta pa kujificha CCM itadumu milele hakuna chama pinzani kitakachoweza kukitoa madarakani.#hapakazitu...
Back
Top Bottom