Ni kweli katika interview watu siku zote wanakuwa ni wengi sana hii yote ni matokeo ya jinsi gani graduates tulivo wengi katika utafutaji wa ajila japo pia ni jukumu la kila mmoja wetu kujiandaa katika mapambano hayo ya kutafuta ajira.Kweli vijana wenzangu hali ni ngumu sana.
Wale wote mliopata nafasi za kazi katika ukarani wa sensa ya watu na makazi Tanzania 2012 ni jukumu zito sana mlilopewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hivo ni vema mkafanya kazi kwa bidii katika kuhakikisha zoezi hilo linakamilika kwa kiwango kizuri.Lakini pia ni jukumu letu sisi...
Wale wote mliopata nafasi za kazi katika ukarani wa sensa ya watu na makazi Tanzania 2012 ni jukumu zito sana mlilopewa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,hivo ni vema mkafanya kazi kwa bidii katika kuhakikisha zoezi hilo linakamilika kwa kiwango kizuri.Lakini pia ni jukumu letu sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.