Recent content by Mohanic

  1. M

    Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa

    Nimeomba ushauri ili nijue kana kwamba wasije wakanikata kule labda TCU kana kwamba admission yangu ikawa inasoma institution nyengine yaan hapo ndipo nahofia
  2. M

    Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa

    Nope hapana nataka nibadilishe course tu ndo kwnz naingia mwaka wa pili ila nina passion ya kusomea kitu flan ndo maana nataka badili course niweze kuombaa degree
  3. M

    Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa

    Habarini nyote.... Nilikuwa natafuta tu clarification kwamba naweza omba chuo kikuu pindi dirisha litafunguliwa hali ya kuwa nipo chuo cha kati na niliweza kusoma advance na kufaulu division II sema ilinilazimu nianze clinical medicine diploma. Hivyo nimefanya machaguzi kubadilisha course...
Back
Top Bottom