Jamani tunafanya utani kwenye hili la uraisi, mtu hata nafasi ya uongozi serekalini hajawahi kushika anaparamia uraisi! Hata tutakao mpigia kura tutakua ni vichaa
Ni chuki tu za kupandikiza, wanategemea nini zaidi Kwa atakae kuja? Ajira ? Maisha nafuu ? Wacha tuone na mje mchinje japo bata Kwa hayo matumaini yenu, TUNASUBIRI HAYO MAAJABU.
Kuna wakatii huko nyuma tulikua na chizi anafanana na huyu jamaa nimesahau jina lake, alikua na stori za kichizi chizi mara anasema alitaka kupewa urais akakakataa mnammumbuka?
Ni uwanja wa kiasi Air Tanzania zenu zote zinatua bila tabu, muulize Captain Mazula Alisha teremsha East Africa Airways mara kibao, ya mwisho aliitorosha kupitia tanga kutoka Mombasa shirika lilipo vunjwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.