Aisee ni mambo ya ajabu kwa waziri kuwa na lugha mbovu na dharau.Hii inaashiria hata mambo ya kawaida mtu anataka kutumia cheo! Kwa mtindo huu itakua ngumu sana kwa nchi na siri za Serikali kutunzwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.