Recent content by mnyama kombaaa

  1. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    sure kaka sasa ukiamini kupitia elimu ndo kufanikiwa unaua unafeli ila elimu ni silaha tuu moja wapo
  2. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    sasa mbona unajisema mwenyewe wewee. usikielewa ni maana ya mafanikio mafanikio ni hatua mojawapo ambayo mwanzo ukua nayo lakiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. alichokizungumzia kaka sio mafaniko yale yakula kulala mafanikio ya overall yani utajiri mkubwa embu soma vizuri hiyo contents afu uje...
  3. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    wewee unazungumzia mada nyingine tofauti yani unaleta ubishi wa kitu ambachooo hakiusiani embu soma tena dada ndo ukomenti mbona sizani kama ulisoma vizuri na ulielewa wewe una mda yako kichwani ndo umeileta hapa mi czani kama umesoma vizuri na umeelewa alichokizungumzia kaka hapo embu acha kua...
  4. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    sasa mbona unajisema mwenyewe wewee. usikielewa ni maana ya mafanikio mafanikio ni hatua mojawapo ambayo mwanzo ukua nayo lakiniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. alichokizungumzia kaka sio mafaniko yale yakula kulala mafanikio ya overall yani utajiri mkubwa embu soma vizuri hiyo contents afu uje...
  5. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Elimu ina sehemu katika mafanikio unaeza ukasoma na ukafika chuo na ukawa mtu ambaye hana muelekeo katika jamaii maana yake ile elimu yake aliyosomea yani taaluma yake haijaweza msaidia na kama umeona mtu kasoma na kafanikiwa manaake kajua jinsi ya kuitumia kilke alichosomea so mafanikio...
  6. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Usichokielewa wewee ni mafanikio ya kujikimu kimaisha na mafanikio anayoyazungumzia hapo kaka ni mfanikio mawili tofatauti wewe kupata hela ya kila siku kula na kupata hela ya kukufanya uishi sizani kama hivi ni vitu vinafanana Nyie ndo wale mkisoma mtaani mnatusumbua kwasababu mnaamini tyari...
  7. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Tatizo kuna kitu kichwani umekieka ndo maana utaki kukubali ukweliii utaki kutoka nje ya kile unakiamini
  8. mnyama kombaaa

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kwanini mafanikio kupitia elimu yanaonekana kama mvua inyeshayo jangwani?

    Weee dada angu ushawahi ona wapi mtu mwenye mafanikio makubwa duniani akajivunia shule yake au unataka kupisha tuuuh angalia vizuri bana elimu na mafanikio ni vitu viwli tofauti
Back
Top Bottom