Recent content by Mnyakyusa5000

  1. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Usiwe ivo..
  2. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Kesi tena mkuu..wamenirudishia mshahara wangu wa miez miwili tayari.. hakuna haja ya kesi tena
  3. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Nimeenda na nimeandika MREJESHO hapo juu.. nashukuru mkuu kwa mawazo yako muhim Bank wameelewa. Kwanza wao ndo wamekubali makosa kwa maana niliwataarifu ila hawakuzingatia.. Asante kwa mawazo mazur hata hivyo
  4. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Nimeenda na nimeandika MREJESHO hapo juu.. nashukuru mkuu kwa mawazo yako muhimu
  5. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    MREJESHO: Nimeenda bank ya kwanza..wameniomba radhi kwa kuzuia mshahara wangu. Wamekubali kuwa mfumo ndio ulileta tatizo kitaifa. Wamenionba twende kwa HR ili tukubaliane makato nje ya mfumo. Pia wamekubali kuniekea kiasi cha mkopo walichonipunja Nawashukuru wanajamii kwa msaada wenu...
  6. Mnyakyusa5000

    Umri unaenda, nachanganyikiwa

    Tulia.. mambo mazur yanakuja..Kila kitu kitakuwa sawa
  7. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Huko kuko sawa...hakuna makato zaidi
  8. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Usijali nakuja mapema sana
  9. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Kwani ni vibaya..? Kuomba ushauri jamani?
  10. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Hata mm nilishangaa Ivo lakini nilipowapigia walisema wao ndio wameniekea...nikauliza mbona imekua kidogo kuliko nilivoomba? Wakasema watanirudia tuongee..hawajawahi kufanya hivyo na effect ndo Ii sasa..mie siogopi kukatwa Io hela au hata wakisema watachukua mshahara wote Hadi...
  11. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Sijakataa kulipa ila hofu yangu ni kulipa kwa hii njia ya kunizuia nisipate mshahara hata kidogo...ndo sababu nahitaj mawazo na ujuzi wa haya mambo. Je inaezekana nikafanya mapatano nao ili na mm nipate salary ata kiasi au ndo watatumia Sheria kama ipo kuniforce ni forsake mshahara wote Hadi...
  12. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Nimekuelewa mkuu.. yani namaanisha hivi upande wa mwajiri hakuna shida.. hakuna makato yoyote. Hati ya MSHAHARA Haina shida. Shida ni bank ambayo MSHAHARA unapitia..wao wamezuia nisifanye withdraw yoyote kwa miez miwili now.. shida hapa ni kwamba mshahara wangu unapitia bank hiyo..
  13. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Nahisi ka sina haki hivi...ndo sababu mwez wa kwanza no salary nikakausha wa pili ndo huu sasa
  14. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Yani ni hivi, MSHAHARA ukiingia napata ujumbe kabisa kuwa kiasi kadhaa kimeingia kwenye akaunti yangu but nikienda kufanya withdraw ni 0
  15. Mnyakyusa5000

    Naomba msaada wa mawazo

    Nilikosea. Nilikaa wiki 2 sijatumia hela huku nawatafuta..sema sikwenda tawini sababu ya ziara za kikazi..walikuwa wananivizia sijui..wao wameanza kucheza na mhahara tu
Back
Top Bottom