Jimbo la nungwi ni dhahir kwamba ukawa kupitia cuf asubuh na mapema kurud tena cuf, ccm aliye waloga amefariki hamtaki tena kujifunza, yupo mtumishi ambaye ccm kwa kutokujua walifikir anajenga chama kumbe kakibomoa alifanya kaz za uonevu kwa wanyonge kwa mwamvul wa ccm, ccm wanakumbuka shuka...