SHAMBA LENYE MIKOROSHO YA KISASA INAYOZAA VIZURI LINAUZWA.
ENEO SHAMBA LILIP0: Mkoa wa Lindi, kilomita 4 kutoka barabara kuu ya lami inayoenda Mtwara.
UKUBWA WA SHAMBA: Ekari 30
IDADI YA MITI KWA EKARI: Miti ya mikorosho 25 mpaka 30 kwa Ekari moja.
STATUS YA MAVUNO: Mikorosho yote inazaa...
Asante Mdau kwa kuuliza Maswali
4.Utatambua miche yetu sio feki ni kutokana na ubora wa mbegu tunazotumuia kuzalishia miche yetu.
Tunatumia mbegu bora kutoka kituo cha utafiti cha Naliendele,Lindi.
Pia tunatumia mbegu bora zinazotoka kwenye mashamba yetu ya kisasa.
Ukiweza fika kwenye kituo...
Hakuna tatizo Mdau
1.Hekari moja kitaalamu tunashauri ipandwe miche 25 mpaka 27 ,kwa nafasi(space)ya mita 12 urefu na mita 12 upana.
*Hii inawezesha na kurahisisha matunzo bora ya shamba.
*Hii inasaidia kupunguza au kufidia gharama za kuanzisha shamba la Korosho tunapendekeza kuchanganya mazao...
Ndio kuna iliyofanyiwa grafting na isiyofanyiwa.
Ndio inapatikana January lakini kwa kutoa oda yako mapema .
January/February ni kipindi cha upandaji wa miche.
Maranyingi kipindi hiki huwezi kupata miche kirahisi kama hujatoa oda yako mapema
TANGAZO TANGAZO
Miche ya kisasa ya korosho inapatikana sasa. Ni miche bora inayoanza kutoa korosho mapema na isiyoshambuliwa na magonjwa kirahisi.
Toa oda sasa kwa mahitaji yako ya miche korosho. Tunapatikana mkoani Lindi. Na tunafikisha miche popote pale Tanzania.
BEI NI SHILINGI 1500 KWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.