Recent content by MnolelaKorosho

  1. MnolelaKorosho

    Bei ya maharage Kenya ni 2861 Tsh/Kg huku Tz ni 4,200Tsh/Kg lakini wakenya wapo Barabarani huku watanzania tukipongezana miaka 2

    Nina Maharage mapya ya njano yapo Dar es salaam. Ninauza shilingi 2500 kwa kilo. Kwa anae hitaji tuwasiliane kwa namba +255789740368 Asante
  2. MnolelaKorosho

    Shamba la mikorosho ya kisasa inayozaa linauzwa Lindi

    Ndio kabla hujafika Madangwa
  3. MnolelaKorosho

    Shamba la mikorosho ya kisasa inayozaa linauzwa Lindi

    SHAMBA LENYE MIKOROSHO YA KISASA INAYOZAA VIZURI LINAUZWA. ENEO SHAMBA LILIP0: Mkoa wa Lindi, kilomita 4 kutoka barabara kuu ya lami inayoenda Mtwara. UKUBWA WA SHAMBA: Ekari 30 IDADI YA MITI KWA EKARI: Miti ya mikorosho 25 mpaka 30 kwa Ekari moja. STATUS YA MAVUNO: Mikorosho yote inazaa...
  4. MnolelaKorosho

    Tunauza miche ya kisasa ya korosho

    Asante Mdau kwa kuuliza Maswali 4.Utatambua miche yetu sio feki ni kutokana na ubora wa mbegu tunazotumuia kuzalishia miche yetu. Tunatumia mbegu bora kutoka kituo cha utafiti cha Naliendele,Lindi. Pia tunatumia mbegu bora zinazotoka kwenye mashamba yetu ya kisasa. Ukiweza fika kwenye kituo...
  5. MnolelaKorosho

    Tunauza miche ya kisasa ya korosho

    Hakuna tatizo Mdau 1.Hekari moja kitaalamu tunashauri ipandwe miche 25 mpaka 27 ,kwa nafasi(space)ya mita 12 urefu na mita 12 upana. *Hii inawezesha na kurahisisha matunzo bora ya shamba. *Hii inasaidia kupunguza au kufidia gharama za kuanzisha shamba la Korosho tunapendekeza kuchanganya mazao...
  6. MnolelaKorosho

    Tunauza miche ya kisasa ya korosho

    Ndio kuna iliyofanyiwa grafting na isiyofanyiwa. Ndio inapatikana January lakini kwa kutoa oda yako mapema . January/February ni kipindi cha upandaji wa miche. Maranyingi kipindi hiki huwezi kupata miche kirahisi kama hujatoa oda yako mapema
  7. MnolelaKorosho

    Tunauza miche ya kisasa ya korosho

    Miaka miwili na nusu. Asante kwa kuuliza mdau
  8. MnolelaKorosho

    Tunauza miche ya kisasa ya korosho

    TANGAZO TANGAZO Miche ya kisasa ya korosho inapatikana sasa. Ni miche bora inayoanza kutoa korosho mapema na isiyoshambuliwa na magonjwa kirahisi. Toa oda sasa kwa mahitaji yako ya miche korosho. Tunapatikana mkoani Lindi. Na tunafikisha miche popote pale Tanzania. BEI NI SHILINGI 1500 KWA...
Back
Top Bottom