Wakuu mnasemaga humu kama dem sio bikra ukioa unakua umeoa mke wa mtu…. KWAHIYO NIWEKE NDAN HII MALI AU NIACHE TU…. Maomben ushaur wa mwisho nyie ndo mnajua mambo Mengi watu wa hum nawakubal sana akili kubwa
Naomben ushauri nimuoe au nimuache tu Nimepata mchumba mdogo tu miaka 19 katulia Hana mambo mengi na bado hamjui mwanaume yan bikra kabsa na yupo tayari kuolewa. Ni mtu wa Kondoa ni mrembo sana
Kwakua ni binti mdogo na hajui mambo ya wanaume nimeona kama anafaa nimchukue au nimuache nichukue...
Huyo mtoto anakua sio wako ndo maana kwnza kamficha kuna baba Ake mwingine ambae hua anamuona. Pili.. huyo sio wako kwann abadilishe jina kwann asiliache hivo hivo? Anataka kuweka la baba ake wa ukwel ndo maana kakukimbia…. Tatu itakua Haufanani nae wala Hafanan na ndgu ako yoyote….. jiongeze…...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.