Recent content by Mmeme

  1. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Bado hujajibu swali la post # 1085. Nimekuuliza hivi: Je, unaamini katika hisia?
  2. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Babu Christmas ni mapokeo ya ya tamaduni i.e appeal to tradition. Sio historia ya babu.
  3. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Tayari nimejibu katika post #1088. Ila sijirushi rushi. Jibu sasa swali la post # 1085
  4. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Mambo unayonielewesha yako juu ya uwezo wako. Kwa hiyo sidhani kama unastahili kunifundisha. Hata hivyo, kiswahili ni chetu sote, nami nafahamu sawasawa.
  5. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Hakuna njia ya uthibitisho kwamba kifo kinatoka wapi. Ni nje ya uwezo wetu, lakini kifo kipo. Ndiyo maana nasema, sio kila jambo unaweza thibitisha uwepo wake. Hata Mungu pia yupo, ila hatua njia ya uthibitisho ya uwepo wake. Ni nje ya uwezo wetu.
  6. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Kama kifo ni sifa, je unaweza thibitisha hiyo sifa inatoka wapi? Sifa ni neno linalotoa habari zaidi kuhusu nomino. Ni neno linalojiri baada ya nomino. Kutoweza kujua hali fulani inatoka wapi au itatokea lini, ndiyo uthibitisho tosha kwamba sio kila jambo lina njia ya uthibitisho wake...
  7. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Hoja yetu sio mjadala wa aina za maneno ya kiswahili na migawanyiko yake. Huoni kuwa hoja yako ni dhaifu sana kuniuliza mimi ati kivumishi nini? Sina historia ya kujibu maswali yanayolenga kupindisha maada kinyemela. Rudi kwenye hoja yetu. Sio kila jambo lina njia ya uthibitisho wake.
  8. Mmeme

    Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?

    Mwambie asinywe vimiminika kiasi kingi baada ya saa 10 jioni. Kama bado, basi asinywe kiminika chochote baada ya saa 10 jioni. Afanye hivyo na kufurahia usingizi mnono. Kumbuka, sijasema asile chakula.
  9. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Ni vizuri kujiamini kuwa ni mwelewa kuliko mimi. Lakini huenda ni kinyume chake. Hiyo link niliifahamu hata kabla hujanipa. Hiyo link haizungumzii historia ya mambo, ila inazungumzia mapokeo ya mambo. Mapokeo na historia ni vitu viwili tofauti.
  10. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Unafahamu historia ya Mungu wangapi? Appeal to tradition kwenye masuala ya logical fallacy vyoye ni mapokeo ya tamaduni au mila za jamii husika. Appeal to tradition/logical fallacy havimaanishi historia ya jambo, bali ni mapokeo ya jambo
  11. Mmeme

    Mpaka leo hakuna theist aliyeweza kuthibitisha Mungu yupo, cha ajabu bado wanatuhubiria Mungu wao

    Sina udanganyifu wa kuelewa, bali napinga dhana ya kuwa kila jambo unaweza thibitisha uwepo wa nafasi yake. Najua fika kuwa kifo na muda vipo na ni vitu gani. Nisichojua ni kwamba vinatoka wapi na nataka uthibitisho wake. Kama utaniuliza nikuambie mtoto akikua ufupi huwa unaenda wapi...
Back
Top Bottom