Recent content by Mmawia

  1. Mmawia

    Akutwa na ndoo za kinyesi na mikojo ndani. hivi hili ni tatizo ugonjwa wa akili?

    Mbona Idi Amini Sasa hii tabia ni ugonjwa Hivi ni ugonjwa au labda ni Imani za kishirikina?
  2. Mmawia

    Akutwa na ndoo za kinyesi na mikojo ndani. hivi hili ni tatizo ugonjwa wa akili?

    Mtu kujisaidia ktk NDOO haja kubwa na kuihifadhi kwenye NDOO na kuishi nayo chumbani mwako kwa kipindi cha miezi sita ni ajabu. Inawezekana huyu mtu Pua zake na macho yake havifanyi kazi ipasavyo kama watu wengine? Naomba wataalamu wa afya za akili za binadamu mnisaidie kuelewa Jambo hili...
  3. Mmawia

    KWA HILI CCM WASHUKURU TANZANIA HAKUNA UPINZANI.

    Tanzania hakuna upinzani
  4. Mmawia

    KWA HILI CCM WASHUKURU TANZANIA HAKUNA UPINZANI.

    Kwa yanayotokea sehemu mbalimbali hapa hapa nchini ccm ni kama wamechokakutawala. Baada ya matokeo ya mchujo wa wagombea wa nafasi za Bunge kutoka pale Dodoma nimeamini Sasa hivi wananchi wameondoa yoga na kusema liwalo na liwe. Hii tabia ya kuwateulia wagombea wa majimbo na wakubwa Wacha he...
  5. Mmawia

    GE2025 Musiba: Kama kuna mtu yeyote nilimkosea, naomba anisamehe. Ule ulikuwa ni ujana

    Yule MUSIBA aliyetamba kipindi cha utawala wa mwendazake Magufuli. Ametoka mafichoni tangu kifo cha Magufuli ameamua kujishusha mbele ya watanzania na kuomba msamaha. Watanzania kazi kwenu kumsamehe ndugu MUSIBA.
  6. Mmawia

    GE2025 Job Ndugai akataliwa hadharani, wajumbe wamwambia apumzike sasa

    Hivi huyo Dr kwa sasa yupo kwenye system?
  7. Mmawia

    GE2025 Job Ndugai akataliwa hadharani, wajumbe wamwambia apumzike sasa

    Katika mfumi huu wa katiba iliyotungwa na watawala pekee yao hatuwezi kuiondosha ccm.
  8. Mmawia

    RC Tabora Paul Chacha Azielekeza Taasisi za Serikali Zaidi ya 20 Kujieleza kwa Kushindwa Kushiriki Shughuli za Mwenge na Nanenane

    Kwa maana nyingine ni kuwa mwenge Sasa umebakia kwa watumishi wa serikali na wanafunzi tuu
  9. Mmawia

    RC Tabora Paul Chacha Azielekeza Taasisi za Serikali Zaidi ya 20 Kujieleza kwa Kushindwa Kushiriki Shughuli za Mwenge na Nanenane

    Aisee yaani katika dunia ya leo hii bado Kuna watu wanafurahia wenzao kufungwa? Hivi wewe ni mtu wa wapi? Au umetokea Burundi na Rwanda? Hii siyo tabia ya watanzania kabisa. Kwani wewe huwezi kufungwa? Au unafikiria jela ni kwa wapinzani au wenzio tuu? Akili za kipuuzi na kijinga kabisa
  10. Mmawia

    RC Tabora Paul Chacha Azielekeza Taasisi za Serikali Zaidi ya 20 Kujieleza kwa Kushindwa Kushiriki Shughuli za Mwenge na Nanenane

    Kile kitabu cha marehemu baba wa Taifa mwl Jk Nyerere cha tujisahihishe hawajakisoma
  11. Mmawia

    RC Tabora Paul Chacha Azielekeza Taasisi za Serikali Zaidi ya 20 Kujieleza kwa Kushindwa Kushiriki Shughuli za Mwenge na Nanenane

    Huyo jamaa huwa anatawaliwa na jazba sana kwenye kufanya maamuzi ya kitaasisi.
Back
Top Bottom