Recent content by Mmawia

  1. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Hatari,avunjwa mkono na kuporwa simu kisa T-shirt ya Samia

    Mkuu inaonekana unayo ABC za hilo tukio ebu shuka tueleweshe
  2. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Hatari,avunjwa mkono na kuporwa simu kisa T-shirt ya Samia

    inasikitisha sana
  3. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Hatari,avunjwa mkono na kuporwa simu kisa T-shirt ya Samia

    Naona sasa tunakoelekea siyo penyewe ndugu watanzania. Msikilizeni huyu mshikaji
  4. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Ni wazi wananchi wa Zambia wameamua kuirejesha serikali yao madaraka kwa awamu ya pili, hakuna haja ya waliokataliwa kulaumu au kusingizia waTanzania.

    Naomba kwanza niaptie Jibu kuhusu posho unazolipwa ili uendelee kutuletea maloloso hapa
  5. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Siasa za kutafuta kiki na public sympathy zimedumaza fikra hasa za vijana katika kujenga na kutetea hoja zinazohusu mustakabali wao.

    Huo ndiyo mpango wao na ndiyo maana hata elimu yao inakusudia hilo. Utamkuta waziri kabisa anasimama mbele ya kadamnasi anasema eti Vijana ni taifa la kesho. Nawashaurini vijana mjiunge kwenye vikundi vya uzalishaji mashambani msitegemee ajiri za serikali.
  6. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Siasa za kutafuta kiki na public sympathy zimedumaza fikra hasa za vijana katika kujenga na kutetea hoja zinazohusu mustakabali wao.

    Naona umeamua kujivika koti la marehemu she Yahya
  7. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    wengi wao ni majinga tuuu yamekaa tu maofisini tu na mavitambi
  8. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Kuishi bila kuongozwa na ccm inawezekana
  9. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Kabisa na naamini kabisa nia ya wamiliki wa hayo Mabus ilikuwa ni kuturahisiahia sisi abiria kupata usafiri kwa urahisi. Fikiria mtu anaishi Kongowe Mbagala anasafiri KUELEKEA Dodoma atoke huko aende Magufuli
  10. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Nakubaliana na wewe hatuna viongozi kabisa hasa kama ni hawa wa kutoka chama tawala
  11. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Siasa za kutafuta kiki na public sympathy zimedumaza fikra hasa za vijana katika kujenga na kutetea hoja zinazohusu mustakabali wao.

    Njaaa ukiiendejeza inatekq akili zako unabakia kuandika mataputapu tu mitandaoni ili kuwafurahisha watoa fursa
  12. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Hakuna lolote zaidi ya mikurupuko tu nimeona asubuhi hii wamiliki wanahitaji kikao shirikishi na Latra maana hawakushirikishwa
Back
Top Bottom