Recent content by Mmawia

  1. Mmawia

    JamiiForums Tanzania DUUU KUMBE KOSA LA NCHIMBI NI KUWAAMBIA WATANZANIA KUIPIGANIA KATIBA MPYA?

    Inasikitisha sana kama kweli hili ndiyo kisa la kufanya makamu wa rais kutukuzwa. inatia huruma sana na masimango.
  2. Mmawia

    JamiiForums Tanzania HONGERA SANA URUSI,HONGERA SANA IRAN,HONGERA SANA N.KOREA,HONGERA SANA CHINA.

    Mmawia tena nimeibuka mshindi pamoja na wale tuliokuwa/ tunao endelea kukubali sana Urusi dhidi ya USA. Mwanzoni kabisa mwa Vita kati ya Urus na chawa wa USA nchi ya Ukraine nilisema au tulisema kuwa kwenye hii Vita Urus watatoka kidedea. Leo hii tumeshuhudia kuwa Urusi kaibuka mshindi kwani...
  3. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Ni wajinga tu hakuna cha ukweli
  4. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Kwa kuwadogosa watanzania bara
  5. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Hawa watu hawaridhiki kabisa
  6. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Huyu ndiyo alistahili kuwepo ukonga badala ya MH Lissu
  7. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Jussa: Rais katoka Zanzibar imekuwa nongwa, Rais alipokuwa wa kwao hawakuona Tanganyika imeuliwa

    Najiuliza hivi viongozi kama Hawa wamevimbiwa na amani iliyopo au wameamua liwalo na liwe. Tumsikikize huyu kiongozi kutoka zenji.
  8. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Haiwezekani na haitawezekana
  9. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    wanu amchague nani?
  10. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Mkuu wewe ulitegemea aandike kitu gani tofauti na hiki? Maana ndiyo wajibu wake kukisifia chama,Hana tofauti na gazeti la uhuru na mzalendo
  11. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    CCM wao wanachofikiria kila siku ni kuendelea kututawala badala ya kufikiria jinsi ya kutupunguzia ugumu wa maisha
  12. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Zandaani kabisa: Hesabu za 2030

    Kwa 2030 Magufuli wetu ni Tundu Lissu
Back
Top Bottom