Huo ndiyo mpango wao na ndiyo maana hata elimu yao inakusudia hilo.
Utamkuta waziri kabisa anasimama mbele ya kadamnasi anasema eti Vijana ni taifa la kesho.
Nawashaurini vijana mjiunge kwenye vikundi vya uzalishaji mashambani msitegemee ajiri za serikali.
Kabisa na naamini kabisa nia ya wamiliki wa hayo Mabus ilikuwa ni kuturahisiahia sisi abiria kupata usafiri kwa urahisi.
Fikiria mtu anaishi Kongowe Mbagala anasafiri KUELEKEA Dodoma atoke huko aende Magufuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.