Recent content by Mmawia

  1. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Wewe utakuwa ni mwizi mmojawapo
  2. Mmawia

    Nani alitaka kumuua Paul Makonda?

    Eti kuna watu walitaka kumuua mara kadhaa na anaendelea kuwindwa? Sidhani kama kuna mtu alikuwa na haja ya kumuua huyu kaka labda kama anatafuta kiki tu. Watake kumuua huyu mtu hustle kwa umuhimu gani kwenye jamii? Hebu msikilizeni wenyewe alafu tumjadili wana jukwaa.
  3. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Mkuu unanipa pole kama wewe siyo mtanzania?[emoji23][emoji23][emoji23]
  4. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Tutaendelea kulialia milele
  5. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Watanzania sijui ni kitu gani kinatuondolea ujasili
  6. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    CCM hata ukiliweka Jiwe wanalichagua
  7. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Aibu sana hii alafu utasikia machawa wanaimba eti barabara zote ni za kupitika mwaka mzima
  8. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Sasa hivi yupo anapasua kuku kwa wacuba
  9. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Wanaitwa chukua Chako mapema
  10. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Naona ushamvaa shemeji yako Bashite amekupatia posho ya siku yaani buku 7 za lumumba
  11. Mmawia

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Fisadi nambari moja alishazikwa
Back
Top Bottom