Mtu kujisaidia ktk NDOO haja kubwa na kuihifadhi kwenye NDOO na kuishi nayo chumbani mwako kwa kipindi cha miezi sita ni ajabu.
Inawezekana huyu mtu Pua zake na macho yake havifanyi kazi ipasavyo kama watu wengine?
Naomba wataalamu wa afya za akili za binadamu mnisaidie kuelewa Jambo hili...
Kwa yanayotokea sehemu mbalimbali hapa hapa nchini ccm ni kama wamechokakutawala.
Baada ya matokeo ya mchujo wa wagombea wa nafasi za Bunge kutoka pale Dodoma nimeamini Sasa hivi wananchi wameondoa yoga na kusema liwalo na liwe.
Hii tabia ya kuwateulia wagombea wa majimbo na wakubwa Wacha he...
Yule MUSIBA aliyetamba kipindi cha utawala wa mwendazake Magufuli.
Ametoka mafichoni tangu kifo cha Magufuli ameamua kujishusha mbele ya watanzania na kuomba msamaha.
Watanzania kazi kwenu kumsamehe ndugu MUSIBA.
Aisee yaani katika dunia ya leo hii bado Kuna watu wanafurahia wenzao kufungwa?
Hivi wewe ni mtu wa wapi? Au umetokea Burundi na Rwanda?
Hii siyo tabia ya watanzania kabisa.
Kwani wewe huwezi kufungwa? Au unafikiria jela ni kwa wapinzani au wenzio tuu?
Akili za kipuuzi na kijinga kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.