Recent content by Mmawia

  1. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Unadhani ni kwanini kujiondoa CCM na kujiunga upinzani ni hasara na mwanzo kujimaliza mwenyewe kisiasa?

    kwa sababu CCM mnatumia mabvu na kulipwa visasi kwa mgongo wa mitutu ndiyo maana watu wnaaogopa
  2. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Mwaipopo kuruka hewani kuwakabili viongozi wa dini

    Hana akili ya kuwakabiri viongozi wa wakatoliki. Huyo ataishia kuvuma kama difu mbovu
  3. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Naishauri TEC kulitazama upya Jimbo Katoliki la Kondoa kwa jicho la tatu.

    Umeleta uzi kama wimbo wa mchakamchaka. hujaeleza kuna tatizo Gani hapo jimboni Kondoa
  4. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dr.Samia S. Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili ya Urais 2030, unadhani kuna mbadala wa mrithi wake zaidi ya Dr.Emmanuel J. Nchimbi?

    CDM inajitosheleza Wala hatuhitaji Machawa wa mbogamboga
  5. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Baada ya kukosa kuungwa mkono na kanisa CHADEMA yageuka na kuwatukana Waandishi wa Habari na wasanii

    Wewe huo udini utawacha lini? unanuka ubaguzi wa kidini miaka yote umefaidika nayo nini cha kujivunia?
  6. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dr.Samia S. Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili ya Urais 2030, unadhani kuna mbadala wa mrithi wake zaidi ya Dr.Emmanuel J. Nchimbi?

    Naona lilikuuma sana hilo bus 🚌 la CDM,kama vipi Jamia cdm
  7. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dr.Samia S. Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili ya Urais 2030, unadhani kuna mbadala wa mrithi wake zaidi ya Dr.Emmanuel J. Nchimbi?

    Watoto wake mleta hoja wansomea Shule zenye Mabus ya rangi ya njano kisa huo uchawa
  8. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Baada ya Dr.Samia S. Hassan kuhitimisha awamu yake ya pili ya Urais 2030, unadhani kuna mbadala wa mrithi wake zaidi ya Dr.Emmanuel J. Nchimbi?

    Lengo lako lilikuwa zuri,lkn limekuja kipindi siyo. 2030 nchi itaongozwa na Nelson Mandela mzaliwa wa Ikungi
  9. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Tusidanganyike tukaharibu nchi yetu yakatukuka kama ya Libya kwa Gaddafi

    Huku watawala wanjihudumia
  10. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Tusidanganyike tukaharibu nchi yetu yakatukuka kama ya Libya kwa Gaddafi

    Hapo wote walio mzunguka ni wale wafia chama hivyo usitegemee kama kuna mtu mwenye uwezo wa kuhoji hata mmoja
  11. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Tusidanganyike tukaharibu nchi yetu yakatukuka kama ya Libya kwa Gaddafi

    Afadhali ya Gaddafi alikuwa na akili sana kama sungura maana hakumshika mkono kipofu
  12. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Tusidanganyike tukaharibu nchi yetu yakatukuka kama ya Libya kwa Gaddafi

    Anamlinganisha Gadaff na nani?
  13. Mmawia

    JamiiForums Tanzania Waitara: Sikupewa pesa yoyote, sikununuliwa, sikuhongwa, Nilipigiwa simu na Magufuli kwenda CCM

    Tena ni zaidi ya uzoobaqa
Back
Top Bottom