Recent content by mmaranguoriginal.

  1. M

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Wana Bodi Nawasalimu. Nina Muda Mrefu Sana Kama Mkongwe Humu Jamvini Takribani Miaka Saba Sijaingia Humu Nikipambana Jimbo La Meru Lirudi Ccm Leo Imenibidi Niingie Kwa Hili Nyambo Nyeti Sana La Kupiga Kura Kwa Maraisi Watatu Africa Bora Katika Demokrasia Na Mojawapo Aliyeingia Ni Rais...
  2. M

    Mgogoro wa viti maalum CHADEMA: Mbowe ana mkakati gani wa kuvunja kambi ya Askofu Bagonza, kambi ya Askofu Mwamakula, na kambi ya kina Mdee?

    Mbowe aliwafukuza kina Mdee kwa kutokufuata utaratibu ...ukimuita Mtu subiri aje umsikilize Hata Kama atachelewa
  3. M

    Nyota ya DC Sabaya yang'ara Mbele ya Dr.Bashiru Hai

    Hongera Sana Cde Sabaya ...Kijana Mpambanaji Na Mzalendo ...Kazi Moja Imebakia 2020 Kutuondolea Mbowe Hapo Hai
  4. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    2020 Ccm Inashinda Asubuhi
  5. M

    Yusuf Manji ajiondoa Quality Group of Companies

    Wazawa Ni Wangapi Walionufaika Na Ajira Juu Ya Kampuni Yake, Na Je Wageni Wangapi Wameziba Nafasi Za Wazawa ? Japo Manji Amesaidia Kukuza Ajira Kwa Watanzania Ifike Pahala Serikali Wafike Na Manji Memorund Of Understanding
  6. M

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Ukame ni hali ya kidunia na ni mabadiliko ya tabia Nchi pia,iwe hatua moja mbele kwa watu kutambua sasa mvua si ya kuitegemea tena na isiwe sababu ya kuanza kulalamika lalamika njaa njaa wakati akili inataka igundue kitu kingine ili kupata solution ya njaa na nikukumbushe tu kuna maeneo...
  7. M

    List ya wanasiasa mashujaa wenye damu ya mageuzi Tanzania kwa sasa

    Afadhali Mbowe, Lema, Sugu Hawapo Kwenye Hiyo List.
  8. M

    Si Mbowe wala 'bingwa' wa majanga Mbatia kwenda Sumbawanga

    Mbowe Na Mbatia Ni Wapiga Madili Kwenye Vyama Vyao Ni Wenyeviti Wa Kudumu.
  9. M

    Josephine Mshumbushi: CHADEMA ni mali ya Mtei, kimejengwa kwa misingi ya unafiki na nidhamu ya woga

    Mama Na Akili Sana Huyu kaandika logic. chadema Wajipime kama kweli Wanaweza Kuitwa chama Kikuu cha upinzani , Wamekata pumzi
  10. M

    Kijana aliyemtusi Rais, Isaac Emily ahukumiwa jela miaka 3 au kulipa faini

    Chadema Wanatafuta Kick kupitia Dogo Aliyetenda Uhalifu.
  11. M

    Kijana aliyemtusi Rais, Isaac Emily ahukumiwa jela miaka 3 au kulipa faini

    Chadema Kama Wanalinda Wahalifu Basi Hiki chama Ni zaidi ya Janga kwa Taifa.
Back
Top Bottom