Recent content by mle

  1. M

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Habari wakubwa. 1. Naomba kuuliza mchunguzi wa kesi anaweza kuwa shahidi mahakamani? 2. Kwenye kesi ya madai hakimu anaweza kuruhusu mashahidi wawili kuingia kwa wakati mmja na kutoa ushahidi, au anapaswa kuingia shahidi mmjammja. Asante
  2. M

    Kutotendewa haki kwenye kikao cha nidhamu

    Habari wakuu. Nimeajiliwa kwenye kampuni flani Kuna kosa lilitendeka likafanyiwa uchunguzi na nikaitwa kwenye kamati ya kikao cha nidhamu yenye wajumbe 6 waliokiwepo kwenye kikao hicho, lakini pia kampuni ilikuwa na mashahidi 3 kati ya mashahidi hao mmja ndio aliyefanya uchunguzi wa hii kesi...
Back
Top Bottom