Huu mgomo sijui kama utafanikiwa kwa sababu hizi zifuatazo:
1. CWT na uongozi wa mkoba ni dhaifu na duni na wapo kwa ajili ya kuganga njaa kutokana na michango ya walimu na sio kutetea walimu.
2.Walimu walio wengi ni dhaifu katika kufikiria juu ya haki zao na umuhimu wao kwa taifa hili. Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.