Pole sana kaka, ila kila kitu kiko kwenye himaya yako, Unajua! mtu akipenda chongo huona kengeza,
Jaribu kuwa mvumilivu kidogo, na pia jaribu kumshauri mkeo kwenda kusali huenda akimrudia mungu ataona kuwa ni makosa makubwa kwa anayoyafanya. Pia wewe muombe Mungu kwani hakuna mjanja hasa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.