Serikali imekuwa ikitangaza fursa nyingi za kuwawezesha vijana kujikwamua kiuchumi. Hata hivyo, kuna malalamiko kutoka kwa baadhi ya vijana kwamba mchakato wa kupata fursa hizo si wa wazi na huenda baadhi ya makundi yanapewa kipaumbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.