Recent content by mkushite

  1. M

    Chadema Wamepata wapi pesa za Kufanya mikutano na maandamano Nchi nzima kuzidi Chama Tawala?

    Hizo pesa za kuzurula na kampeni wangejenga viwanda vidogo vidogo vijana wakapata ajira, hii nchi wangepata mchana kweupe. Tatizo lako wote wana njaa, wanafaidisha matumbo yao. Kwa hicho kidogo wanachokipata, kiwanufaishe wananchi waone kwamba wakiwapa kingi watafanya mengi. Au vyama pinzani...
  2. M

    Bank imeuza dhamana(gari) bila kumpa taarifa mmiliki

    Ndugu wanasheria, rafiki yangu anaomba msaada wa kisheria ili apate haki yake. Alichukua mkopo bank na kuweka gari yake kama dhamana, ila kwa bahati mbaya akachelewesha marejesho mpaka dhamana yake ikakamatwa na madalali. Hiyo gari yake imeuzwa bila yeye kupewa taarifa ya mnada, anakuja...
  3. M

    Dalili za Uchumba sugu

    Kama wamekubaliana na wanaishi pamoja mnachokitaka kingine ni kipi kama siyo utapeli wenu mnaouita kufunga ndoa?
  4. M

    Erick Omondi amua kuingia kwenye maji kuokoa wakenya kwenye mafuriko unaweza toa machozi

    Kimsingi celebrate wa weusi wanajisahau sana na ndo maana mwisho wao huwa ni mbaya sana. Wanatumia nguvu na muda mwingi kulinda brand kwa kufake maisha na kuwa mbali na jamii. Erico anafanya jambo jema na litamuinua pakubwa.
  5. M

    Ngono ni hitaji namba 3 kwa mwanamke. Lazima uanze kumpa haya mawili kwanza

    Kwahiyo nikikupa makaratasi mnayoyaita pesa inakutosha wewe na kuchana msamba? Kimsingi nyie mabinti masikini ambao mmetokea familia duni hamtaki hela ila mnataka vitu ambavyo mnaweza vipata/nunua kwa kutumia pesa. Mfano. Sikupi karatasi/pesa ila nakupa gari, nakupeleka kwenye migahawa mizuri...
  6. M

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Huo ni mkoa tuu, ngoja nipewe nchi muone ntakavyowasha moto. Hatutaki uarabu kwenye nchi na ardhi yetu.
  7. M

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Hawa jamaa tunawalea sana. Zanzibar inapaswa kuwa treated kama mkoa. Nashangaa inapewa hadhi kubwa isiyo stahili.
  8. M

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Hawa waoman ni wajinga sana, wao walikimbia kwao kwenye jangwa wakaja kwetu na sasa wanataka nchi. Zanzibar ni mkoa Tanganyika na hao waomani wakizingua tunawachapa na kuwarudisha kwao uko jangwani. Dar to kigoma ni mwendo wa masaa 24 na km zaidi ya 1,000. Sasa kigoma ni bado Tanganyika...
  9. M

    Zanzibar ndiyo waliotoa Mtaji kuanzisha BOT. Sasa wanataka fungu lao

    Hawa waoman ni wajinga sana, wao walikimbia kwao kwenye jangwa wakaja kwetu na sasa wanataka nchi. Zanzibar ni mkoa wa Tanganyika na hao waomani wakizingua tunawachapa na kuwarudisha kwao wakafie uko jangwani.
  10. M

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Hicho kitabu kina story kama za shigongo. Uo ushenzi wa kuingilia wanaume ni tamaduni zao hao washenzi mnaowaabudu. Sisi weusi hatunaga huo ujinga ,wao ndio wameuleta na nyie mnaiga.
  11. M

    Hakika na waambieni wake zenu waajiriwa ni wake zetu makazini

    Acha ujinga tumia akili zako. wewe unalindwa na Mungu wa Israel, Israel inalindwa na mifumo ya kijeshi ya technolojia ya hari ya juu. Acha kudumaza akili zenu.
  12. M

    Mpenzi wangu kakubali kukutana kimwili na rafiki yangu

    Women cheat more than men. sisi tukigonga nje lazima tusimulie washikaji na kuji mwambafy. Wao ni wasiri sana na ukaa kimya hata kwa shoga zao hawajui. Kukiri kwao ni mpaka uwakamate live. Hawajisikii vibaya kucheat. Hujisikia vibaya wakikamatwa.
  13. M

    Bora Episode au mke wa pili na watatu!

    Kwani kuolewa ni nini? Kipi kipya ambacho hujawahi fanya ila utakifanya ukiolewa? Hapo ukute ushatoa mimba zaidi ya 5 na umegongwa na wanaume 15+. Jua ya kwamba hao wanaume wote wamekuoa na kukuacha. Tatizo lenu mnatengeneza definition zenu na maana yenu kuhusu kuolewa. Maana harisi ya...
  14. M

    Tuangalie upya Mfumo wa Elimu ya MASTERS & PHD

    Sisi tatizo tunakurupukia na kuiga mambo yasiyo ya msingi. Nchi nzima tukijikita kwenye kilimo tutakuwa tumejikomboa.
Back
Top Bottom