Ungekubali kuwa na mwanamme mmoja hasa hasa yule aliyekutoa bikra, ungeyapata yote haya.
Tatizo ni kwamba tiyari usha gongwa gongwa na wanaume tofauti, huwezi mpata mwanamme mmoja akutimizie hayo yote.
Utalazimika kuwa na wanaume zaidi ya 7 ili uweze kuyapata hayo yote.
Kwa kifupi, akili...
vigezo vya kuoa na kuolewa ni tofauti.
1. Kuoa ni lazima uwe vizuri kiuchumi ila kuolewa uchumi wa mwanamke siyo kigezo.
2. Kuoa body count siyo kigezo ila kuolewa body count ni kigezo kikubwa mno.
ndiyo maana biti anasema anataka kuolewa na mwanamme mwenye hela na kijana anatafuta kuoa binti...
Mahusiano ni ya wawili, mme na mke. Hapo mmoja akisema siendelei na ndoa hakuna taasisi yenye uwezo wa kubadilisha mawazo yake na hiyo ndoa lazima ivunjike.
kikubwa kwenu wanawake huwa mnajali sana hisia zenu kwanza mengine yanakuja baadaye.
Nina hakika 100%, huyo mke wa jamaa anawasiliana na huyo mgoni wake kwa siri kubwa kwani pressure aliyonayo anayeweza kuipoza ni huyo jamaa.
Pole sana mkuu.
Nimeisoma thread yako kwa makini sana na kiukweli nimeguswa, maana scenario yako inafanana kabisa na yangu. Nimeshapitia maumivu haya, najua namna yanavyovuruga akili, moyo na hata future plans zako.
Kwa uzoefu wangu naomba nikupe ushauri mmoja wa nguvu, wenye msingi na faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.