Hapana, sikuweza kuendelea na masomo katika mfumo rasmi kwani elimu yangu ya darasa la saba ilikua kikwazo kupata chuo cha kusomea taalam nzuri maana sehem nyingi walihitaji kidato cha nne na kuendelea ila kupitia mume wangu alishauri zaid mradi utakao nifanya niwe nyumban zaid, nafuga kuku pia...
hata kama tukichanganya kazi kwa maana ya kufanya kazi mbili halali sawa, ila kutumia mapenzi kama sehemu ya kipato mbaya saana maana heshima ya mwanamke huja kwa kua na malengo na msimamo hasa kuhusu utu na afya njema, hakika usichanganye kazi na mapenz
Mwanangu hakuna kingine ambacho unaweza jivunia au kukupa heshima kwa mumeo zaidi ya kumtumzia usichana wako (ubikira) maana kama ni elimu huna ya kutosha na hali duni ya maisha ya sisi wazazi wako faraja pekee ya sisi wazazi wako ni wewe kutupa heshima maana tumekuzaa na kukulea katika maadili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.