Recent content by mkumbowilly

  1. M

    Nina laki 7, nahitaji kufanya biashara ya Mchele kutoa Kahama to Singida

    Nina bekary, nauza vifaa vyo ikiwemo mixa, slesa, tins, proover, oven nk Namba zangu 0766741892
  2. M

    Banc ABC ni taasisi ya kitapeli?

    Kiongozi wangu kila mtumishi anakitengo chake so kwa kitengo changu mi nadili mikopo kwa watumishi wa serikali. Majina ya abc hotel na back yametokea kufanana tuu lakini havina uhusiano wowote katika umiliki
  3. M

    Banc ABC ni taasisi ya kitapeli?

    Kutakuwa na tatizo katika mkopo wake so baada ya kufika ofisin ndo ntapata jib kama ni kupata pesa au kunatatizo alijue na ajue chakufanya
  4. M

    Banc ABC ni taasisi ya kitapeli?

    Mi npo makao makuu DSM kama na yeye yupo hapa afike ofisin kwetu apate taarifa sahihi ila kama yupo mkoani nimeona no njia sahihi yakumpatia taarifa moja kwa moja.
  5. M

    Banc ABC ni taasisi ya kitapeli?

    Hi bwana Kulyunga. Mi ni mtumishi wa banc ABC nmejisikia vibaya sana baada ya kusoma taarifa yako lakini ninajukumu lakuhakikisha unaiona bank yetu kama sio yakitapeli wala namna yeyote ile mbaya kwa jamii. Nahisi kutakuwa na tatizo la mawasiliano kati ya ww mteja afisa wa mikopo aliekujazia...
Back
Top Bottom