Hi!
Kwa upande wangu mimi sioni sababu ya sisi *(Tanzania) kujiunga na hili shilikisho kwa kipindi hiki na wala sidhani kama utakuja muda ambao tutakua tayali kujiunga nalo.
Zifuatazo ni sababu zangu kuu;
1. Hatuna mlingano wa kiuchumi kati yetu sisi na hao wenzetu, hili litatuletea matatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.