Sasa kuna uhusiano gani na kumbaka na yeye kukupa limbwata la kuzidi kumpenda?
Yaani,
Kumbaka = Yeye kukufanyia limbwata uzidi kumpenda na kuona wanawake wengine kinyesi?
Ulielewa swali langu kweli?
Umehitimisha kwa hoja zisizoendana na ulichoongea.
Logical non sequitur
Moja kwa moja madani.
'Theoritically' hakuna mwanaume aliyekamilika ambaye hatamani kuwa na Zari, Uwoya, Tunda 'etc'... hawa mabinti wapo limited kwa wachache wenye nguvu (kisu kikali, yaani fedha, 'kibunda').
Na vijana hawa wenge nguvu wapo wachache, hawapo wengi. Hapa ni dhahiri kuwa nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.