jaman tunakosea matumiz mabaya ya mitandao, hivi unavyosema wewe dada ukataja eneo analofanyia kazi unahisi yuko pekeake? hivi akaja kujua kwa njia yoyote ile mnahis atakuwaje? embu tukue na tujue kuitumia vizur mitandao, hivi mnajuaje kama jamaa alikataliwa ndio akaamua kufanya hivyo, wanaume...
oyaa wee jamaa achana na hayo mambo maana kitendo cha kutaja kampun ya watu ni doa tosha hata kama kuna ukweli au ni habar za kutunga, achana nazo ikiwezekana toa hiyo habari haraka sana, na kama una uchungu na huyo mtu mtafute inbox ongea nae, nakushauri hiyo mada toa hapo , unaweza leta shida...
oyaa wee jamaa achana na hayo mambo maana kitendo cha kutaja kampun ya watu ni doa tosha hata kama kuna ukweli au ni habar za kutunga, achana nazo ikiwezekana toa hiyo habari haraka sana, na kama una uchungu na huyo mtu mtafute inbox ongea nae, nakushauri hiyo mada toa hapo , unaweza leta shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.