Mbona hamjadili kauli ya lowasa ya kumtoa babu sea na mashehe... Au hizo ndo sera za kuwakomboa wananchi dhidi ya umasikini chambueni kila upande msiangalie upande mmoja... Acheni ushabiki elimisheni watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.