Recent content by mkongwe augusty

  1. mkongwe augusty

    2round selection

    mbona unatudanganya mkuu second selection mbona ni chuo kimoja wewe imekuwaje ukachagua vi3?
  2. mkongwe augusty

    Hivi hii ina maana gani?

    hivi 1.6 ndo unasema unavigezo au macho yangu
  3. mkongwe augusty

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    bro hayo matusi, mm nasoma st.joseph arusha ndo wanafunzi wa kwanza kufungua hiki chuo pia cc ndi tuliofanya st. joseph ionekane unavyoiona wewe sio kila alioko st.joseph anaufaulu mdogo binafsi nina two ya 12 naamin kabisa kuna watu udsm nimewapita tena wengi. so bro badilisha kauli. simshaur...
  4. mkongwe augusty

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    st. joseph ndo nn ww huoni vyuo vingine?
  5. mkongwe augusty

    TCU, registration for the year 2015/2016

    kweli pamoja na BRN bado tu mnapata FFS kweli kama hujui hujui tu
  6. mkongwe augusty

    HESLB wanamaanisha nn?

    tatizo tanzania hatuna umoja wa kitaifa assume vijana tungekuwa na umoja mimi naamin tungefanya mengi na kuliokoa taifa letu dhidi ya ufisadi unaondelea kutukandamiza. ila mtu akitokea kushauri jambo mnasema ni siasa.
  7. mkongwe augusty

    TCU na Chuo wametuzawadia bidhaa feki

    acha kuongea pumba wewe. unacomment kitu usichokijua. wewe unajuaje kama wanauongozi wa chuo badala uulize kama kuna uongozi wa chuo unakimbilia kuwaambia waache kuungana. wewe ni mse... usiyefikilia ndo maana tanzania hatuendelei kwa sababu ya watu kama wewe FAL.... WEWE. unajiona umeongea...
  8. mkongwe augusty

    Kama unatafuta elimu bora, usije St. Joseph Arusha

    hebu sema wapi pametiwa chumvi, tatizo wabongo wengi ni MATOMASO
  9. mkongwe augusty

    Kama unatafuta elimu bora, usije St. Joseph Arusha

    Nishidaaaaa, Ila arusha campus hakuna diploma kuna special program miaka mitano hao ndo majanga zaidi kwani topic mfano mechanics wanafundishwa siku moja imeisha, kumbuka hawa special coz wengi hawakwenda advance ila wanamezeshwa kiivyo, wanapiga paper na wanapata GPA hadi 4.9
  10. mkongwe augusty

    Kama unatafuta elimu bora, usije St. Joseph Arusha

    Yaan ndg st. Joseph zote zipo hivyo katika education ila tuliogoma ni wa arusha tu. Songea, makambako na dar wanaendelea kusoma na next week ndo wanaanza end exams. Sasa jiulize vyuo vingine vinaingia mwaka mwingine wa masomo st. Joseph bado wapo vyuoni. Wito kwa ndg zangu wa st.Joseph dar...
  11. mkongwe augusty

    Kama unatafuta elimu bora, usije St. Joseph Arusha

    Ndugu zangu Watanzania, natoa Uzi huu kwa masikitiko makubwa. Mi ni mwanafunzi Wa hapo st. Joseph arusha campus, typo home tunasubiri hat a yetu kwani tuligoma kuingia darasani mwezi Wa 8 kutokana na chuo kukosa mtaala wa kufundishia. Toka tumeripoti chuon halo mwaka jana mwez Wa kumi...
  12. mkongwe augusty

    Hivi muda wa kuapply vyuo vya afya bado jamani?

    Sifa za kupata diploma ya co ni bios c chem c phy d kwa o.level
  13. mkongwe augusty

    Updates za mkopo kwa mwaka wa pili

    Nasubir mpaka naona niulize jaman! mwenyekuju hil msaada wako ndio posho yangu
  14. mkongwe augusty

    tuition fee at st. Joseph university

    1,820,000 kwa mwaka ndugu!
Back
Top Bottom