Pole na majukumu natumai wote ni wazima wa afya na akili pia Kuna rafiki yangu ana mke wake ana siku nyingi hajawanae karibu alikuwa nje kikazi amerudi mwezi wa nane tareh 20 akakutana na mwenza wake kimwili pasipo kinga.
Hofu aliyo kuwa nayo sasa nikuambukizwa HIV kwasababu amesikia habari...
Hofu ilitanda Kwenye nafsi yangu baada ya siku 100 kupitia nikaenda mahabara yakaribu kwaajili ya vipimo vipimo vikatoka negative je siku 100 zinatosha ku confirm.?[emoji848]. Naombeni ushauri wenu kuhusu ilo.[emoji120]
Nimekutana naye kimwili mwezi wa Tatu but nili baada ya hapo nilikuwa nahofu kubwa sana nikaenda kupima mwezi wa SITA mwishoni almost zilipita siku kama 105 vipimo vikasoma negative.
Nimekutana naye kimwili mwezi wa Tatu but nili baada ya hapo nilikuwa nahofu kubwa sana nikaenda kupima mwezi wa SITA mwishoni almost zilipita siku kama 105 vipimo vikasoma negative.
[emoji112] Hello. Habari zenu wanajukwaa poleni na majukumu.
Naombeni msaada wenu je kama umekutana kimwili na msichana alafu baada ya muda ukawa unamashaka na afya yako juu ya maambukizi ya ukimwi unahitajika ukae muda gani ndyo ukapime Ili vipimo vitoe majibu sahihi[emoji848].
Naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.