Recent content by mkiu

  1. M

    Kwangu hili ni ajabu la Mwaka; Raisi kutolipa kodi

    MKUU KISHERIA RAIS HAPASWI KULIPA KODI DUNIANI KOTE IKO HIVYO KWA SABABU KUU MOJA YA KISHERIA, KWA MUJIBU WA SHERIA YA KODI MKUSANYAJI MKUU WA KODI (HEAD OF TAX COLLECTOR) NI RAIS SO KUMWAMBIA ALIPE KODI NI SAWA NA KUINGIZA HELA MFUKO WA KUSHOTO THEN UKATOLEA HELA HIO HIO MFUKO WA KULIA
  2. M

    Tuhuma za Udini dhidi ya Dr. Ramadhani Dau wa NSSF, Ukweli ni upi?

    brother tatizo liko kwene matokeo angalia hayo matokeo ya mwaka jana form four then amka na uamshe wenzio acha kuwazamisha zaidi kwa kuwapa mawazo ya kipumbavu.
  3. M

    Ziko wapi Media Ethics kwa ITV/IPP Media?

    mdau haya maandishi ungeyaandika kipindi cha kampeni maana TBC na STAR TV zote mpaka taarifa za habari hawakumuonyesha mamvi au sheria haiwahusu wao? tutende haki bana ZNZ matokeo yashajulikana but mpaka sasa hayajatangazwa unajua kwa nn? ndo hapo ITV wanapoingia kuchimbua kwa nn n they deserve...
  4. M

    Ukawa wasipojiangalia watakosa mgombea

    nimesoma kifungu kwa kifungu nukta kwa nukta sheria ya uchaguzi na sheria Ya gharama za uchaguzi hamna kipengele kinachoongelea hio ishu so msikuze mambo someni kwanza NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.....umeyabeba tu huko fasta unakuja mbio alafu kijana aaaaaaaaaaghrrrrr
Back
Top Bottom