Watu safi mara nyingi ni wawazi, naamini chadema ni wasafi, natamani kujua ni.kwanini asilimia karibia 70 ya uongozi wenu wa juu ni watu wa kaskazini wakati mnawatu timamu tanzania nzima.!? pia natamani kujua mchanganuo wa pesa za luzuku za chama ambazo mnapewa kila mwaka mapato na matumizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.