Recent content by mkemwema

  1. M

    Pamoja na yote, huyu ndio moyo wangu uliompenda

    Nimewaelewa,nayafanyia kazi ushauri wenu,kuna mtu kasema mie mbaya sijui,hapana ni mdada ambaye natazamika ila ndo hivyo tena yamenikuta. Nayafanyia kazi mawazo yenu ndiyo maana nikaweka hapa naona wote mmesema ukweli mchungu kuwa hanitaki na hanipendi. Nimekubali na nayafanyia ushauri ahsanteni...
  2. M

    Pamoja na yote, huyu ndio moyo wangu uliompenda

    Ndugu yangu hayajakukuta.
  3. M

    Pamoja na yote, huyu ndio moyo wangu uliompenda

    1.Ninakupenda sana,nikajitolea kwa kila kitu,nikakujali,nikakuheshimu,nikakuita "mume wangu " nilikuita kwa kumaanisha,nlikuwa tayari kila unachosema nakifata,kila unachotaka nakufanyia,nikawa muwazi kwako,hisia zangu nikakuonyesha.Nikakupa mwili wangu na moyo wangu,nikakuambia...
Back
Top Bottom