Recent content by mkelemi1

  1. M

    Kama Rais kashindwa kusimamia Usalama wa wananchi wake maana yake nchi imemshinda.

    Acha mihemuko ya Kijinga ww. Una nguvu ipi kutoa kusema. Hivi. Kila kitu kinachangamoto zake. Usalama ni jambo kubwa sana..
  2. M

    Magufuli alikuwa waziri enzi ya Mkapa, enzi ya Kikwete lakini anaongea kama mtu ambaye hakuwa sehemu ya utawala hizo!

    . Hiv mnataka mtu afanyaje au aendelee kuwa tu hiv hiv bila sababu yeyote?
  3. M

    BAVICHA: Rais John Magufuli ajitokeze hadharani kuzungumzia aibu hii

    Sasa tu hapo nashindwa kuelewa uchambuzi wa hii maada!!! Ila takwimu zangu zinaonyesha mwaka 2009 had 2010 Rais Maguful hakuwa waziri wa ujenzi bali alikuwa waziri wa kilimo mifugo na uvuvi.. Sasa wali je wakala wako ni muhemuko kwa Rais ili uweze kuwa Hitman kwakwe au dhumuni kutuonesha nini hapo??
  4. M

    Rais Magufuli anaendesha nchi kwa misingi ya upendeleo wa kifamilia, kikabila na kikanda!

    Ndio maana akauliza ni mtoto kweli wa dada?? Mbona kuna top officer wakubwa zaid ya hawa aseeeee... Msichangie maada kwa mihemuko ya chama au kwa kufuata huyu kasema hivi... Ungekuwa ni wewe je ungefanya nini.. na mengine ni system tu ndio inaamua kuwa hivyo.. Bsi tuseme hata Upinzani hasa wa...
  5. M

    Tundu Lissu ataka Rais Magufuli asusiwe kila mahali na mataifa mengine duniani

    Dah wewe umenifurahisa na msemo wako huo
  6. M

    Waziri Mkuu Majaliwa: Hatuzuii wakulima kuuza mazao nje

    Halafu likitokea tatizo hapa nchini tuanze tena kuhangaika au kauli yako inaangalia tu short run
  7. M

    Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti

    Cjajua kwa nini umesema hivyo kwa kweli aseeee.. haya sawa sote njia yetu moja
  8. M

    Rais Magufuli anaingia kwenye vita kali

    sasa mbona kama haueleweki unaunga mkono kinamna gani??
  9. M

    ACACIA: We declare everything of commercial value that we produce and pay all appropriate taxes

    mhhhhh yaa kiukweli nimekuwa disapointed sana na ujumbe wako huu. Sasa unataka nan akafanye hivyo. Uzalendo unahitajika ngugu. Fact kama zako ndio zinaonyesha kias gan elimu yako wewe n ndogo na haupo kwa ajili ya kutetea nchi bali kupinga kila kitu kinachoelezwa
  10. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhongo

    atenguliwa kwenye Nyadhifa ya Uwazili na sio vinginevyo jamani
Back
Top Bottom