Recent content by MkamaP

  1. M

    Waafrika tuna matatizo gani?

    Ndiyo mkuu nakubalina na wewe. Ni kama tu Trump wa marekani wanavyomsumbua mahakamani naye anataka aje awasumbue akina Joe
  2. M

    Waafrika tuna matatizo gani?

    Urais South Africa haugombewi. Mwenye atakayekuwa na wabunge wengi ndo anachaguliwa kutoa rais. Kwahiyo kwa kificho anagombea tena urais.
  3. M

    Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

    Acha kupotosha Ingekuwa hivyo alimaanisha angetaja watu marehemu na kutoa mfano, ila yeye aliwataja watu fulani wazima na akasema si unaona hawajafa fulani na fulani.
  4. M

    Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

    Acha kupotosha Ingekuwa hivyo alimaanisha angetaja watu marehemu na kutoa mfano, ila yeye aliwataja watu fulani wazima na akasema si unaona hawajafa fulani na fulani.
  5. M

    Mapinduzi ya Kijeshi yadaiwa kupangwa kutokea Congo Brazzaville. Serikali yakanusha

    Kuna jaribio la mapinduzi la kumuondoa rais linaendelea Congo.
  6. M

    Hashim Rungwe ahoji: Mtauzaje Bandari zetu?

    sakata lipo ktk hatua ipi?
  7. M

    Profesa Tibaijuka alipeleka Sakata la Bandari duniani

    Sakata la bandari lipo ktk hatua ipi sahivi?
  8. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Umeleza mkuu vizuri, lakini Dubai siyo kama Zanzibar. Zanzibar ilikuwa nchi ikaungana na nchi nyingine kama ilivyokuwa Czech na Slovakia. Dubai ni mkoa toka awali ndani ya UAE, ninamashaka sana kama kweli walisaini mkataba wa IGA na Dubai.
  9. M

    Kama mahakama za Tanzania hazitoi haki, Watanzania nao wasikubali kesi zao kuamuliwa na Mahakama hizo?

    Viongozi wa juu wa serikali kama ni kweli wajua kwamba "mahakama hazitendi haki" mpaka wakazikwepa ktk mikataba. Sasa hizi mahakama zetu kwanini ziendelee kuwepo na zikiendeshwa kwa gharama kubwa na zikiwa zinaumiza watanzania kwa kutowapatia haki zao? Ama ina maana watanzania siyo...
  10. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Ingeipa mamlaka hua wanaandika kitu fulani kwa niaba ama mfano, ingekuwa UAE kisha pale chini yakawa Dubai. Mfano: United Republic of Tanzania Local Government, Simiyu region. Ila Hii unaona hata ile heading pale juu siyo UAE bali ni Dubai, kisha dubai anampa mtu mamlaka fulani kusaini. Haya...
  11. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Ni shida sana, ngoja waje watuelimishe.
  12. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    is it true that the government of Dubai can sign an inter government agreement with foreign countries without federal government of UAE? No, it is not accurate to state that the government of Dubai can sign intergovernmental agreements with foreign countries without the involvement or...
  13. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Sidhani, nakumbuka walitaka kujiunga OIC ikashindikana.
  14. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Soma yote paragraph ya pili. Nime copy na ku paste swali ktk application hiyohiyo imenipa majibu tofauti, ambayo hapo chini. Hata hivyo , kama una facts zaidi kuhusiana na jambo hilo tupatie tujifunze zaidi. Can the government of Dubai sign an inter government agreement with foreign countries...
  15. M

    Huu Mkataba siyo Intergovernmental, Dubai siyo Nchi

    Dubai, as a city within the United Arab Emirates (UAE), does not have the authority to independently enter into intergovernmental agreements with foreign countries. The UAE, as a sovereign nation, is responsible for conducting international relations and negotiating agreements with other...
Back
Top Bottom