Recent content by MKAKA WA CHUO

  1. M

    SoC02 Utoaji holela wa leseni za udereva ni chanzo kikubwa cha ajali za barabarani

    Udereva ni kitendo cha mtu kuendesha chombo cha moto kwa ajili ya kusafiri au kusafirisha watu au mizigo mbalimbali ya watu kutoka sehemu moja hadi sehemu nyingine. Mtu ambaye huendesha chombo cha moto kama vile pikipiki, gari na bajaji huitwa dereva. Kwa kawaida dereva ni mtu ambaye anaongoza...
  2. M

    SoC02 Kaka Shabani ni wa kuigwa

    Ni kweli ndugu yangu.
  3. M

    SoC02 Kaka Shabani ni wa kuigwa

    Ni mtazamo tu lakini Siri ya mafanikio yake analijua yeye mwenyewe. Inaweza kuwa njia sahihi ya upambanaji au njia zisizo za halali, hatuwezi jua pengine alipata Mali za urithi, akauza akanunua hizi pikipiki
  4. M

    SoC02 Kaka Shabani ni wa kuigwa

    Kaka huyu amanielimisha pakubwa Sana, kwa SABABU amanifanya nitumie Kila chance inayojitokeza katika jamii hata Kama watu wakiidharau, Kama vile bodaboda na uandishi wa Insha na stories Kama hivi pia natumia Kama chance coz NAAMINI siku moja nitafanikiwa
  5. M

    SoC02 Tupo katika dunia ya mashindano, washindi na watu wao ndio watapata raha na amani ya dunia

    Ahaa okay.! Lengo ni kuhimiza vijana na WATANZANIA kuongeza jitihada na MAPAMBANO katika kazi zao za Kila siku
  6. M

    SoC02 Chukua tano zangu za dhahabu na mtaji wako utafanikiwa

    Utajiri: Ni Hali ya MTU au watu kujitosheleza Katika nyanja tofautitofauti za kiuchumi. Utajiri unaweza kuhusisha vitu Kama vile mifugo, mashamba, mali au pesa. MTU huitwa tajiri kwa kumiliki vitu Kama vile mashamba makubwa yanayompatia faida, maduka makubwa, magari, majumba,migodi na vitu...
  7. M

    SoC02 Kalamu na karatasi ni nyenzo za msingi kabla ya kuanza mapambano

    Sisi Kama WATANZANIA au wanadamu Kila mmoja anashughuli ambayo anaifanya ili kumuingizia kipato Cha Kila siku ambacho kitamsaidia kukidhi mahitaji yake binafsi na familia yake kwa ujumla. Na Kama siyo hivyo basi ipo shughuli ambayo Kila mmoja wetu anaamini akishiriki kikamilifu katika shughuli...
  8. M

    SoC02 Wakati unacheza zingatia mdundo

    Katika maisha yetu ya Kila siku Kila mtu anatamani awe na mafanikio katika Nyanja moja ama nyingine.kiuhalisia mafanikio ni ndoto ya Kila binadamu mwenye akili timamu. Mafanikio hayo yanaweza kuwa ya kielimu, kiuchumi, kisiasa, kiimani, kiafya na kimichezo. Ni jambo lisilopingika kwamba...
  9. M

    SoC02 Ni muda wa kuhama kutoka katika kilimo bora kuelekea kwenye kilimo bora kwa maendeleo ya taifa letu

    Kilimo: Ni kitendo Cha ukuzaji wa mimea na ufugaji wa wanyama kwa ajili ya chakula na biashara. Ni jambo lisilopingika kwamba Kilimo ni UTI wa mgongo wa nchi yetu ya TANZANIA japo kuwa asilimia kubwa ya Watanzania hatunufaiki ipasavyo kufikia hatua hii ya kusema kwamba Kilimo ndio UTI wa mgongo...
Back
Top Bottom