Recent content by MjumbeOGG

  1. MjumbeOGG

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Kwa nini Hamboreshi Network yenu Kingamboni.Eneo la Nyumba za WHC-Watumishi House. Matikiti? Network ya Hovyo mno. Alafu mnasema nyumbani kumenoga!
  2. MjumbeOGG

    Kulikoni Halmashauri ya Wilaya ya Hai?

    Utaratibu wa Walimu kuhama toka chama kimoja cha wafanyakazi kwenda chama kingine ni sawa kwa Tanzania nzima. Kwa nini Halmashauri ya Wilaya ya Hai walimu wake washindwe kuhama wakati Utaratibu wamefuata kama walimu wa halmashauri nyingine? Walimu Wameichoka CWT, ni Wizi ni Rushwa kila kukicha...
  3. MjumbeOGG

    CWT inashusha ari ya Walimu

    WALIMU TUMEWAKOSEA NINI? Salam Kwanu 1.Mhe.Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan. 2.Mhe.Waziri Wa Utumishi na Utawapa bora..Jenista Mhagama 3.Mhe.Waziri Wa TAMISEMI...Innocent Bashungwa. Kwa miaka Zaidi ya Ishirini Walim wa nchi hii wamekuwa wakiwakilishwa na Chama kimoja cha Wafanyakazi kiitwacho...
Back
Top Bottom