Utaratibu wa Walimu kuhama toka chama kimoja cha wafanyakazi kwenda chama kingine ni sawa kwa Tanzania nzima. Kwa nini Halmashauri ya Wilaya ya Hai walimu wake washindwe kuhama wakati Utaratibu wamefuata kama walimu wa halmashauri nyingine?
Walimu Wameichoka CWT, ni Wizi ni Rushwa kila kukicha...
WALIMU TUMEWAKOSEA NINI?
Salam Kwanu
1.Mhe.Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan.
2.Mhe.Waziri Wa Utumishi na Utawapa bora..Jenista Mhagama
3.Mhe.Waziri Wa TAMISEMI...Innocent Bashungwa.
Kwa miaka Zaidi ya Ishirini Walim wa nchi hii wamekuwa wakiwakilishwa na Chama kimoja cha Wafanyakazi kiitwacho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.