Samahani sio wewe ni ndugu Zafrain sag na Mijadala Migumu na haikua tarehe 17 walisema kozi tarehe 7 mwez wa 10 ila mpaka Sasa hapo ndani ni bilabila...
Lakini cha kukujibu wewe hamna kozi mwezi huu kwani bado watu wanaingia na Usahili unafanyika
Usisimulie usichokishuhudia ona sasa unavyo bwabwaja kama una kiazi Cha moto mdomoni,,,,,, unfit hawajasomwa sababu wote usahili wa vipimo haujakamilika na unapoambiwa usahili unaendelea sio huo tu ikiingia pale unahakikia details zako kwanza sasa ndugu yetu kiongozi unawapa vijana moto kweli.
Nakumbuka mwaka Jana hata hawa wanaotoa ronja awamu hii walikua wamekomalia bogi oljoro mwez wa nane ikaja mwenz wa 11....
Kumbe watu wapo msata hicho kipindi wanaenda wiki ya nne mkesha oct mwishoni wakaapa
Ndio kilichopo hapa sasa bogi mwez wa 11 wataitwa na Bms aya bhana wajuzi wa mambo...
Komaa tu mzee huwezi jua ulipopangiwa usichoke kuomba ila haya Mambo ya majeshi ni ya wanajeshi wenyewe asee bila mbuyu kutoboa ni ngumu wanangu waliokua wanategemea bahati wameliwa vichwa ila wale wa maelekezo wote wapo kwenye pdf lao
Watu wamaelekezo tayari wapo kwenye hilo Pdf mkuu...
Cha kuomba wewe ni huko CCP watu wanaingia waripoti wachache ama uende mbali sana uvae roho ya mnyama wapungue kwenye vipimo vya huko ndani ila mbali na hapo subili baada ya mwezi na wiki kadhaa wapo watakao tema bungo watachukua jazia nyama...
Usiwe unaleta vitu usivyokuwa na uhakika navyo watu wengi sana hata usahili wa vipimo haujakamilika na bado watu wanaingia...
Kozi mwezi wa 10 tareh 7 umeitoa wapi wewe na mwenzako huko makutupora vipimo vya damu umewafanyia wewe au wote uta wa bypass??...
Acha kuharakisha mambo kijana vitu...
Nashangaa walioaga kwenda huko makutupora na Msata bado wana zurura tu humu JF wanazungusha vyupi.
Au mlikua mnajifariji, kwa jitungia maswali kisha mnajisahihisha wenyewe.😎🤏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.